Bado,hakuna aliyejibu kwanini" Bunge tukufu" na tukienda mbali zaidi kwenye mahakama zetu kuna lugha "mtukufu hakimu",pia "mtukufu rais".tafadhali anayejua atujuze
Habari za jioni, popote ulipo. Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo nahitaji msaada wa dawa. Vinaninyima raha, nahitaji kurudia hali yangu ya kawaida. Tafadhalini
Habari za jioni, popote ulipo. Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo nahitaji msaada wa dawa. Vinaninyima raha, nahitaji kurudia hali yangu ya kawaida. Tafadhalini
Hii tamthilia ni nzuri aisee, hivi Kwa nini Filipino wanajua sana kutengeneza tamthilia, Wanawaigizaji wazuri,story nzuri,color usisema,pamoja NA mtiririko wa visa NA matukio.Wabongo tungekuwa hivyo tungekuwa mbali,alafu story zao zinakua zaidi katika mpenzi lakini namna wanavyoyaweka sasa,Safi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.