Ndio hio inaweza kuwa sababu kwa mtu mmoja mmoja, km ukitoa user Male 1000 Female 700 na bado success hits kwa maongezi ya online ni chini ya 20% hii ni shida . Wanaingia huko bila kujua wanafwata nini
Yani Hapa huwa nashangaa , ladies msome functionality za sites mbali mbali..... yani Site ni mahususi kwa ajili ya dating ila huweki effort yoyote pindi unapokuwa txtd. Kwanini ulijiunga sasa? yani hapo ni kuongeza tu operating cost za site husika afadhali ondoa iyo profile yako kama hutaki izo...
Ni ujinga, kwa sababu alimpindua mfalme wao. Na ni ukabila mbaya. Wewe kama mwananchi unatendewa yote hayo kula maisha.
Kila rais anaweza akaua kulinda kiti chake kwa ka Ghadafi aliua ni dhambi zake haikupaswa wamuue kwa msaada wa NATO na nchi za magharibi.
Swali ni kwamba wewe kama mwananchi unataka ktk nchi yako kuwe na maendeleo kwanza halafu demokrasia baadaye au kinyume chake?
Maana kuhusu kodi mbona Tanzania tunatozwa kodi na bado hatuoni chembe ya unafuu katika bidhaa ndogo kama sukari ambayo ni Tsh 2200 mkoa wa moro. kwa hiyo maendeleo...
Hii inasikitisha, ukiangalia kwamba ajali Tanzania zinaweza kuzuiliwa tunaweza kuokoa maisha ya watu kwa kutumia mabasi yenye ubora nchini. Uwekezaji katika usafiri unasababisha wamiliki wa mabasi kuagiza mabasi ya bei ya chini na kuajiri madereva ambao hawana uzoefu.
Kipindi usafiri...
Dk Slaa amewababua na kama inawezekana kipindi kingekuwa masaa 3. Tanzania watu hawafuatilii vitabu vya bunge kujua nini kimewekwa kwenye maandishi hata katiba. Bajeti ni mbovu kweli Tanzania imeshaoza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.