Jamani naomba mnikumhushe kuna mechi moja ya simba na timu kama sikosei kutoka south afrika kombe la shirikisho/klab bingwa sikumbuki walipigiana penalty zaidi ya kumi adi golikipa simba ilishinda 11-10 mwenye kumbukumbu na mechi iyo tafadhali
Unaonaje kama ukitaja jina la iyo kampuni ya mikopo/shirika ili tujue ni tasisi gani?mbona inaonesha brand ya iyo kampuni ako kizungumkuti ndo maana uoweki hadharani.....tupe jina mkuuuui
OMG!!!i cant believe im falling in ur explanation of who am i really are!!90% it is relevant with my behaviour..i never knew this....please renee can you tell me where i could find more about this HSP's in details tafadhali,i will appreciate
Mshana jr atakae pinga andishi lako ajiulize kama amemaliza dozi za milembe au lah,umeonesha uhalisia wa aina gani ya viongozi wanaetajika katika taifa letu wenye busara,hekima,na weledi na maono ya kiongozi si mihemko
Kwa hali ilivyo na hari zilizopo kwa pande mbili za ukuta na ant ukuta busara zinaitajika na hekima ya hali ya juu...leo nimeckia viongozi wa dini,shekhe mkuu,askofu kkkt,na wengineo wameonesha kwenda kinyume na maamuzi ya serikali coz kinaxhombwa kufanywa na ukuta ni haki kisheria na kikatiba...
Habari wanaforum,kuna kitu kinanitatiza ningeomba ufafanuzi kuhusu hili,mwaka 2013 nilipata kuishi bagamoyo ambayo mpaka sasa naamini ni sehem pekee tanzania yenye watu wengi sana jamii ya rastafarain na dreadrocks wengi sana na wengi wenye kuifatilia imani hiyo ya kirasta kupata kuona tz hii...
Inamaana vituo vya luninga leo havijawaona maraisi wastafu zanz na watu maarufu kuwahoji baada ya kupiga kura kama mzee karume,moyo,amour,au hawa hawakujianfikishia zanzbar
Sent from my HUAWEI Y300-0100 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.