Hata hiyo 27,000/- bado ni wizi kwa sababu huwezi niuzia kitu halafu bado kibaki kuwa mali yako, TANESCO hapa muangalie upya mifumo yenu vinginevyo nguzo iwe ni huduma ya bure igharamiwe na tanesco wenyewe.
Uko sahihi kabisa na hiyo kwa cement namba 42.5 angalau utoe tofali 35 zenye ubora wa hali ya juu kabisa ila kwa sement namba 32.5 angalau tofali 25 hapo utapata tofali zenye ubora wa hali ya juu na zisizo pukutika tena hasa kama unajenga nyumba yako binafsi usijibailie ili upate nyumba imara kabisa
Usaliti ulikuwepo tangu enzi na enzi vipande vya fedha vitamu ingawa ni ngumu sana kuvila kwa mtu mwenye uchungu wa dhati na taifa. Maada huduma nying zipo chini ya kiwango huku mabilion ya pesa yakitumika kuneemesha wanasiasa
Ifike mahali CCM Kama chama mkichana huyo mwenyekiti wenu mlihurumie...
ndio maana nilishauri mkae kimya maana nguvu mnayo itumia vijana wa CCM kujiepusha na sakata hili naiona ni zaid ya hydroelectric mnatutia mashaka makubwa nyie watu naona mmekazana na wote hoja zenu zafanana
1. kiki
2. accacia
naona karibu watetezi wa ccm woote hasa wa mitandao hoja zenu...
ninacho pongeza uumbaji wa mungu ni kwamba kila nafsi itaonja mauti hata ulindwe na majeshi 10000000000000000 , furaha yako leo kuna kilio soon kutakuandama maananwapo wanao lia leo huku wewe ukicheka, siasa na utu ni vitu viwili tofauti na hakuna nchi iliyo wahi pata maendeleo kwa kumwaga damu...
kizuri ni kwamba kila nafsi itaionja mauti tofauti ni nyakati tu! na kama kweli hukumu ipo basi kila mmoja atajibia katika yale aliyo watenda wengine , mara nyingi mtu akisha patwa na baya huwa tunaanza na yule mbaya wake wa wazi na mbaya wa wazi kwa T.Lissu ni serikali hii , sikuwahi kusikia...
baada ya ile ya kuwapakazia chadema wenyewe kugoma sasa mmekuja na hii ya kudai kuna mtu ana mchonganisha na rais ! CCM kwa kweli kama mungu kweli yupo na kweli hukumu ipo kwa hakika mikono yenu imeshika roho za wengi wasio na hatia.
wangekuwa ni walimu hapo nadhani thread hii had sasa ingekuwa na comment 700,000 na kati ya hizo 699,999 yangekuwa ni matusi na kejeli za kutosha kwa walimu
Lakin kwa vile ni wauguzi naona watu wana toa comment za upole wakati uzembe huo umepelekea mtoto kupata ulemavu wa kudumu. coz wanaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.