😂😂 Kuna ukweli fulan juu kauli yako kuhusu mabikra.
Ila jana nilimuuliza, akasema ana changamoto ya kifedha amezunguka sana kutafuta kazi lakini hakuna.
Msimamo wako ni upi kuhusu mimi?.
Mbona unabadili badili maneno? Kwa hiyo Nipuuze madai yako ya mwanzo kuwa mimi ni kichaa na nichukue dai la sasa la kutojiamini?.
Hutabiriki, unaandika chochote, uenda baadae ukaanimbia ndiyo maana nina miliki gari.
Ikiwa mtu anakuchana LIVE kuwa wewe ni...
Kwani nimekataa kuwa nina kichaa?. Sijakanusha kuwa nina kichaa, nimekubali kuwa sina kichaa ila bado unasisitiza jambo lile lile, ama we mwenyewe uamini kuwa umeniambia nina kichaa?.
Ukiwa unarudi jambo lile zaidi ya mara 3 hii inaonyesha ni namna gani ulivyo mwanamke mpumbavu.
Nimesema hivi...
Hivi ni kwanini guys wengi Jf uwa mnapoteza attention pale mnapokutana I'd za kike Jf?..
Yaan uoni chochote alichonikosea?unajua ni kwanini uoni chochote? Ni KWASABABU tu ni I'd ya kike ingelikuwa ni I'd ya kiume ungeliliona kosa lake.
alikuwa na haja gani ya kuniambia PATHETIC kwasababu tu...
Wewe ni mpumbavu, kubaliana na huo ukweli kwanza ndiyo uandike kingine na swala la kiingereza Umeliingiza wewe si mimi.
Ulipoandika pathetic ulijiona mjuzi kumbe ni coconut head tu na kucha zako za bandia umejificha nyuma ya keypads.
Wakati neno PATHETIC limekughalimu miaka zaidi ya 14...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.