Hivi unafikir marekani ni wajinga kuitamka silaha wanayoipeleka? Watapeleka huenda na zingine ambazo hawajazitamka.......vita inapiganwa Kwa akili pia.
Kama lengo ni kutapeli watu basi umeshafeli, Tiss hupikwa wakapikika hawez kuja hapa kuandika rubbish....Peace of mind ni nini? Hapa maskin Hana peace of mind.
Hapo Kwa kweli sioni dini, Bali naona maadili mema kabisa.....hata mm mkristo nakubaliana na Qatar.
Leo hii wakristo tumekuwa watu wa ajabu Sasa tunafundishwa misimamo ya kiimani na Waislamu, sisi tumebaki tunachezacheza na comedy za dini.
Tumeanza na kusapoti mambo ya kijinga sana
Mimi Huwa napunguza mwendo then nakeep left, Kuna wakati nilikuwa na gari flan hiv ilikuwa na full Moja Kali Sana utafikir spotlight, lazma anayekuja akubali kupunguza ndio tunaenda sawa
Wahudumu wao kuhusika kuokoa ni sehemu ya eneo lao la KAZI na Wana mafunzo. Na ilibidi kuokoa ili na wao wawe salama. Lakin dogo majaliwa ni mtu asiye na mafunzo na Bado angeacha asingekuwepo wa kumdai. Alijotolewa pasina msukumo wa kutaka na yeye kuokoka.
Shida ni mfumo wA Elimu, Kwa maana ya Mtaala hauruhusu kufikiri, isipokuwa uwezo wa kumbuka ndiyo kipimo Cha akili. Ukiweza kukariri hapa bongo utafanya vizuri Sana. Elimu imekuwa paper oriented
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.