Endeleeni kutujaza nyongo tu, iko siku itamwagika na hamtoamini machoni mwenu...sio mawahini,wauwaji ni ishu ya uchochezi ndio habari ya mjini...shame on you
Kikulacho' ki........ni mwao... Eeeeh! Mwenyezi mungu damu zilizomwagika, zisizo na hatia zisiwaache huru wote waliohusika. Naamini majibu yote yatapatikana. AMINA.
Wapendwa wadau,
Niko Sengerema ni mwezi sasa, nahitaji kujua fursa nyeti zitakazoweza kuniingizia kipato iwe ni ya gari, kilimo na hata ujasiriamali.
Naomba mawazo yenu wana JamiiForums.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.