Mie sikusikia live ila waliosikia na kushuhudia wanasema aliambiwa ''kuna kitu ukirekebisha utakua kiongozi mkubwa''
yeye jamaa kakozea tena anaingia urais kupitia ccm aaah!
Mmeshafanya naye practical ya Biology?
Maana nimesoma Psycology, nimegundua kuna ukuaribu ambao umeutamani sana, hata kama sio sasa inawezekana ikawa siku zilizopita!
Na uko tayari ndiomana,,,,,,,''simu yangu hapokei''
Poleni na maisha magumu wandugu!
Naomba kufahamishwa hadhi ya chuo cha Tropical Arusha, kilichopo chini kidogo ya Clock Tower kuelekea Kijenge.
Je, ni vya uswazi au?
Je, kimesajiliwa?
Je, kinaweza msababishia muhitimu kupata kazi?
Ahsante!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.