Usichojua now days ,Shetan anafanya kazi tofauti na zaman, waganga wakienyeji ndio hao kina mwamposa, Suguye, Bushiri, Geo Devi, na matapeli wengine , now days hawajipaki masizi Bali wanavaa suti, Shetan sio mjinga na mpumbavu, yupo kwenye hii dunia zaidi ya miaka 6000,
Masharti ya sangoma...
Huwez kuwa tapeli mkubwa TZ bila baraka za Serikali
Ukitaka kuwa nabii au mtume hapa tz upige hela inabidi ufike serikalini ,ili wakulinde likitokea lakutokea
Umeshakuwa msukule wa mwamposa
Jambo la ajabu, la kuchukiza, imetokea katika nchi hii! Manabii wanatabiri uongo, na makuhani wanatawala kwa msaada wa hao; na watu wangu wanapenda mambo yawe hivyo. Nanyi mtafanya nini mwisho wake?”
(Yeremia 5:30-31).
“Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa...
Sio lazima anaitapeli mm , nimeshuhudia akitapeli watu
Hakuna maandiko yanasema watu wauziwe maji na mafuta kama yapo yalete
Halafu miaka yote ,huyo Mungu wake ana limitations ,kwamba vilema wakuponywa ni wale wenye miguu miwili tu [emoji1787]
Wasio na miguu au iliyopinda hawawezi kuponywa...
Kwa mwamposa nimeshafika pale ni full utapeli
Jamaa anaponya vilema wenye miguu miwili tu wanaochechemea ,yaan Usanii mtupu
Uneshawahi kuona mwamposa anaponya kilema asiye na mguu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.