Search results

  1. F

    Puma Energy (Tanzania) – Haya Ndiyo Tutegemee?

    Puma Energy (Tz) hivi karibuni ilinunua hisa toka kwa BP (Tz) na hivyo kuchukua vituo vya kuuza mafuta toka kwa ilizokuwa BP (Tz). Jana, jumapili tarehe 18 Novemba mida ya kama saa 2 na nusu hivi asubuhi, nilipata shida ya gari yangu kukata mafuta ghafula nikiwa barabara ya Ally Hassan Mwinyi...
  2. F

    Kesi ya Ponda: Askari wavaa mavazi ya hatari kama wanaenda kutegua mabomu

    Simple question Mr. Undertaker: we unataka uone nini ama usikie nini toka kwa Ponda ndiyo ufikie conclusion kama huyo Ponda ni hatari ama siyo hatari?
  3. F

    Vurugu za Kidini Mbagala: Mtoto akojolea msahafu baada ya kuthubutishwa; makanisa yachomwa

    Preta, Preta, Preta, siamini kwamba unaruhusu hata wazo tu kwamba Wakristo wanaweza kufanya hivyo? Ni hivi Preta, Wakristo wana mambo mengine muhimu zaidi ya kufanya zaidi ya kufanya hivyo unavyodiriki kuwaza kwamba wamefanya, na Mungu wao hujitetea Mwenyewe. Ndio huwasikii wana revenge. Wako...
  4. F

    Vurugu za Kidini Mbagala: Mtoto akojolea msahafu baada ya kuthubutishwa; makanisa yachomwa

    Mkuu, sijui kama utaelewa. Ni hivi, kama umemsikiliza Kamanda Kova, dogo aliyekojolea Qoran alikuwa challenged na rafikie kukojolea Qoran na aka take up the challenge. Sasa je unataka kutuaminisha kwamba Wakristo ndio walioandaa mazingira ambapo yule kijana wa Kiislamu atakutana na, na kisha...
  5. F

    Vurugu za Kidini Mbagala: Mtoto akojolea msahafu baada ya kuthubutishwa; makanisa yachomwa

    Mkuu, sijui kama utaelewa. Ni hivi, kama umemsikiliza Kamanda Kova, dogo aliyekojolea Qoran alikuwa challenged na rafikie kukojolea Qoran na aka take up the challenge. Sasa je unataka kutuaminisha kwamba Wakristo ndio walioandaa mazingira ambapo yule kijana wa Kiislamu atakutana na, na kisha kum...
  6. F

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    Kwani CDM hawana mchakato ambao uko defined na unaeleweka wa kuwapata wagombea urais? Mi naona mada hii lengo lake ni kuleta vurugu ndani ya CDM. CDM kaeni macho . . .
  7. F

    Siri yafichuka: Membe& Mwakyembe wamuondoa H. Masoud

    Duuh! Yaani Mtoa hoja umeniacha hoi! Na ule upepo na hali ya hewa mbaya ni Membe na Mwakyembe? Wazenji jaribuni kujifunza from mistakes badala ya kutafuta watu wa kuwalaumu. Mistakes ni pamoja na kununua boti ambazo muda wake wa kutumika umeisha, boti ambazo ziliundwa kusafiri kwenye mito...
  8. F

    Siri nje kujisalimisha kwa anayedaiwa kumteka Dr. Ulimboka

    Chezea vitu vingine vyote na watu wengine wote lakini MUNGU usije kumchezea. Mchezo ambao politicians wanaucheza hivi sasa ni sawa na kumwingiza hata na Mungu kwenye uovu ambao walioufanya wanajijua na Mungu anawajua.
  9. F

    Tunakusanya Kero ambazo ungependa zisemewe Bungeni na Nje ya Bunge na Viongozi wa CHADEMA

    1. Serikali kutokuwa na VIPAUMBELE sahihi (mfano: kununua mashangingi kwa mawaziri, manaibu waziri, makatibu wakuu, wakurugenzi, wakuu wa mikoa, n.k. badala ya kujenga hospitali, shule, barabara nzuri). 2. Miji yetu kujengwa pasipo kufuata master plan yeyote (hivi moto ukitokea Kariakoo, Fire...
  10. F

    Nani anafaa kuwa waziri mkuu baada ya Pinda?

    Wakuu, samaki akioza kichwa, hafai sehemu yake yoyote utakayoigusa.
  11. F

    Je hii kauli ya "2015 ni zamu ya Wazanzibar" ina mkono wa JK?

    Chao ni chao na cha kwetu ni chao.
  12. F

    Mgomo wa Madaktari (Leo): Kiburi cha Blandina Nyoni

    Blandina alipokuwa Hazina kama Accountant General aliwahi kamata wezi (wahasibu wa wizara ya afya) waliokuwa wanaiba kwa kutumia cheques zilizokwisha tumika, wakawa wanaziandika na amounts mpya na majina mapya. Huyu mama aliwanasa wote wakaenda lupango. Kwa upande wangu nina-mu-admire. Ila...
  13. F

    Filikunjombe ataka Naibu Waziri aondoke na Wahandisi

    Wa-tz tunapenda kuongoza kwa kutumia MBWA - Management By Walking Around - hivi tutafika kweli?
  14. F

    Mwandosya: Kulikoni? Arudi tena India, Dr Mwakyembe achungulia ofisi

    Michelle, mawazo yako ni mazuri. Hata hivyo, mazingira ya kuugua kwa hawa jamaa - yaani yale yaliyotokea na yaliyosemwa kabla hawajaugua - yananifanya niwaze mengi. Mojawapo ni hili: mtu ukijitoa ili kupiganie wengine, yatakapokupata yakukupata basi ujue utakuwa peke yako. Hasa kama wale...
  15. F

    Angalia hii picha halafu tupe mgawanyo wako wa mawazo

    Mtu wa HR wa UDOM anahitaji kuwa replaced!! Short-listing sidhani kama kisha isikia. Kwani kuwaita vijana hao wote kwenye interview siku moja? Chuo Kikuu si ndo watu wanajifunza hata basics za ku-plan, ama?
  16. F

    Uchaguzi Mkuu wa CCM 2012: Tumsapoti Lowassa

    Natoa mwito kwa wote wenye kumjua Mungu, tuiombee nchi yetu Tz. kwa bidii.
  17. F

    Sabodo afukuzwe uanachama CCM - Mashishanga

    Magamba mnaonaje mkafanya SWOC Analysis kwanza badala ya kutaka kufukuza kila anayewakosoa?
  18. F

    AN OPEN LETTER to BAE Systems: Do not return radar money to Tz Government

    Watu wanakuheshimu - hata pasipo wewe kudai wakuheshimu - pale mtu unapojiheshimu. Na tuelewe kwamba katika culture zingine mla rushwa na yule anayetetea rushwa wanahesabiwa kama watu wasiojiheshimu na hivyo hawapewi heshima yoyote.
  19. F

    Kauli hii "anatafuta umaruufu" inakera

    Mkuu, watoa kauli hii hakika ni watu wa ajabu! Kwani, sisimmh inapojivua gamba inafanya hivyo ili iweje? Sio kutafuta umaarufu kabla ya 2015? Halafu kuwa maarufu ni simple kupita maelezo: tupeni waTz umeme, shughulikieni kina RACHEL, tupeni barabara, ondoeni foleni za dar, tupeni hospitali...
  20. F

    Hotuba ya Nape yaliza watu mkutanoni, Mbunge wa CUF na wafuasi wake wamshangilia

    Ikiwa wana CCM wanapata raha sana pale walanguzi wa ufuta na korosho wanapotetewa, je kunahitaji msomi wa chuo kikuu kujua kwa nini walsiopenda ulanguzi na rushwa wanapoendelea kupata karaha sana kila CCM inapotajwa?
Back
Top Bottom