Mkuu hii mada haizungumzii uchumi wa mtu mmoja mmoja. Inazungumzia uchumi wa nchi mkuu. Mtoa mada hajawa mbinafsi wa kuzunguzia miradi ya watu binafsi. Nadhani amejikita kwenye uchumi wa taifa zima.
Nilicho elewa ndege zetu Gharama yake ni Trilion 1.28 tu
Ukiigawanya hiyo pesa kwa Watanzania milioni 60
Trillion 1.28 ÷ milioni 60
1,280,000,000,000 ÷ 60,000,000 = 21333
Kila mtanzania atapata elfu 21.
Sasa kazi kwenu mziuze ndege zetu au mtafute bodi ya wakurugenzi yenye wataalamu wa...
WASHINGTON—
US President Biden called on members of Congress on Wednesday (April 7) to approve his $2 trillion infrastructure plan. Biden said that China and other countries ran ahead of the United States in investing in the future, "trying to grasp the future." Last week, Biden mentioned China...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.