Kwa nini unasema kwamba hakuna uchungu mwanamke anaupata pindi anapogundua kuwa kasalitiwa? kwani yeye hana moyo? uchungu unaoupata wewe pindi unapogundua kuwa mwanamke amekusaliti na yeye ndio huohuo hupata pindi anapogundua kuwa umemsaliti.
Tena wengine hulia tu bila kusema lolote kwa waume...
Taja jina la Kampuni, namba ya bus na linatokea wapi kwenda wapi maana naamini unaticket yenye taarifa zote muhimu? tuchukue hatua sasahivi, nasubiria.
Mimi ya vyumba vinne vya kulala, sebule, dinning, stoo, jiko, corridor 2 na varrandar 2, choo cha master na cha public nimetumia 6 milioni sasahivi ndio nachongesha madirisha na milango miwili wa mbele mmoja na wa nyuma mmoja grill acha kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.