Habari ndg zangu,naomba yeyote mwenye ufahamu wa kampuni ijulikanayo kwa jina tajwa hapo juu anijuze,maana kuna mtoto wa dada yangu amejiunga na hiyo kampuni lakini imekuwa ngumu kupata taarifa zake baada ya kufika Dar wa Salaam ambapo ndiko kwenye hiyo kampuni hana uhuru wa simu yake,kila...
Nimepeleka mtoto hospitali ana tatizo la sikio, nimefika hospitali ya rufaa mkoa Morogoro mnamo saa saba mchana baada ya hospitali ya Mazimbu kuniambia kuwa hawana specialist wa magonjwa ya sikio, baada ya kufika hospitali ya rufaa ya mkoa Morogoro kitengo cha bima.
Pale mapokezi wameniambia...
Hili linawezekana kama wananchi walichangia mil 200+ kuwatoa kina Mboe gerezani hata hili nalo linawezekana.Kila mwananchi aliyeguswa na maumivu ya hawa mashekh akitoa sh 1000 nahakika zaidi ya mil 500 inaweza kupatikana na kurudisha tabasamu la hawa mashekh.Hii kuonyesha kwamba muda wote wa...
Habari ndg zangu, kuna kijana mmoja alikuwa anaishi na mama yake Jijini Dar salaam,baba yake alifariki muda mrefu,mwaka jana kabla ya kufanya mitihani ya kidato cha nne mama yake nae alifariki, kijana huyo Mungu amemsaidia amefaulu na amepangiwa Temeke sekondari, kwa bahati mbaya shule ile ni ya...
Wadau tujuzane vyama vya upinzani vilivyoshiriki uchaguzi ni wagombea wangapi wa upinzani wameshinda. Weka jina la mgombea wa upinzani aliyeshinda na eneo lake.
Jamani Mwenye kufahamu wanapouza mifuko ya Nairobi kwa bei ya jumla plz naomba anifahamishe,nimefanya juhudi ya kutafuta lakini sikufanikiwa nikaona nije humu jf huwenda nikafanikiwa.
Sent from my H8402 using JamiiForums mobile app
Habari Wa ndugu,Leo nimeona nitoe darsa juu ya mada hapo juu ,kwa mujibu Wa qur an tukufu;Mwezimungu anasema "sema,Ee Mola ,mmiliki Wa ufalme! Humpa ufalme umtakaye,na kumuondolea ufalme humtakaye,na humtukuza humtakaye,na humdhalilisha umtakaye;heri imo mikononi mwako.Bila shaka wewe ni mwenye...
Kuna Jamaa yangu licha ya kumkatisha tamaa ya kujiunga kwenye Q-Net bado anaendelea kunitumia picha za watu wake walio kwenye hiyo business kwa madai kuwa watu wanapiga pesa wananunua magari makali.
Kiukweli ananisumbua sana ila namuheshimu sana huyu Jamaa yangu, nashindwa kumpa za USO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.