Barua ya wazi Kwa mkuu wa wilaya ya Ubungo, Mkurugenzi na afisa elimu.
Sisi ni wazazi wa watoto wanaosoma shule ya msingi Msumi.
Ndugu wakuu wetu tunahitaji Sana msaada wetu kuhusu upotevu wa pesa zetu ambazo tulichangishwa na Kamati ya makande inayosimamiwa na Kamati kuu ya shule chini ya...
Kufuatia uzandiki huu kwa MwanaHalisi, ninawashauri wanahabari wazalendo wa Taifa hili wamlinde Kubenea na gazeti lake kwa kugoma kuandika mazuri yote ya Serikali kwani serikali inaingilia uhuru wa vyombo vya habari na haitaki kukosolewa. kitu ambacho nimekiona hapa ni kwamba mabavu ndiyo...
Mpaka sasa CCM wametuia yafuatayo ili kushinda igunga
1. Kumtumia rais mstaafu (Mkapa)
2.Usalama wa taifa
3.Polisi
4.Bakwata
5.Mawaziri
6.Rostam
7.kuhonga chakula kwa wanaigungai
8.Kuzuia wapiga kura wasio na vitambulisho kwa baadhi ya maeneo esp kwenye upinzani
9. Kutumia zaidi ya Tsh...
Ndg wadau mwenzenu nimetafakari na kuja na conclusion yangu juu ya CDM.
ccm wanadai wameshinda lakini hebu cheki hili...
1. Wamemtumia rais mstaafu
2.Mawaziri wa serikali
3.Polisi
4.Usalama wa taifa (kama si uharibifu wa taifa)
5.Bakwata
6.Chakula cha hongo
7.Pesa za Rostam
8.Zaidi ya Tsh...
Wana jf na wadau wa yanga, Mwenzenu imetokea nimepoteza kabisa mapenzi na timu ya yanga kwa sababu ya rangi zake za ki ccm ccm!! Nimeona watu wengu pia wakilalamika juu ya hili. Pia kuona watu kama baba riz1 na riz1 mwenyewe wana mkono huko ndo nimechefuka mno!! Nawashauri yanga wabadili rangi...
Mwenzenu nimejaribu kufikiri kwa undani juu ya matamshi ya ndg samwel 6, nimekubaliana na ule msemo wa kiswahili unaosema 'Ukiona manyoya, ujue ameliwa'. Sasa nimeona manyoya na ku conclude kuwa huyu mheshimiwa ameliwa na kuchakachuliwa kabisa. amesahau kuwa na yeye alichoshwa na ccm na kutaka...
Ndugu zangu wana JF nisaidieni nakala ya bajeti ya mwaka 2011/2012 ambayo ilifanyiwa marekebisho kidogo na kupitishwa na Bunge. Ninayo nakala ya Mkulo pekee ambayo ina mapendekezo tu, lakini ninahitaji ile iliyokuwa amended na kupitishwa. asanteni wadau.
Ndugu zangu wana JF nisaidieni nakala ya bajeti ya mwaka 2011/2012 ambayo ilifanyiwa marekebisho kidogo na kupitishwa na Bunge. Ninayo nakala ya Mkulo pekee ambayo ina mapendekezo tu, lakini ninahitaji ile iliyokuwa amended na kupitishwa. asanteni wadau.
Kuna tetesi kuwa J.K ameweka watu wawili ambao kati ya hao, mmoja wao aje kuwa mrithi wake. Watu inasemekana kuwa ni Dr. Asha Rose Migiro na Dr Hussein Mwinyi. Wana JF mmeisikia hiyo??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.