Hakuna dume anauwa watoto wake ila anauwa watoto wadume aliyemnyanganya familia na akikuta jike alikuwa na mimba ya dume lililopita anampanda mpaka mimba itoke
Simba dume anawinda pia ila sio muwindaji mzuri km jike kwasababu ana uzito mkubwa pia zile sharubu akijificha wakati anawinda inakuwa rahisi kuonekana vitu umeandika hapa nenda ukagoogle upya tu
Ukienda mahali ukakuta watu wanakula ugali na kijiko na wewe chukua kijiko kula sio ujifanye kunawa mikono kwamba umezoea kula ugali na mikono
Mshahara utauona mchungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.