It would be best if you studied more about dams and their effects on the environment. Maintenance of dams in poor Countries like ours could be very challenging i.e., dredging and removing silts from the bottom of the dams to restore their original capacity is a bit trick and very costly. If you...
Etwege, Bwawa la Mtera lilijengwa kwa ajili ya kustore maji kwa ajili regulate flow to Kidatu etc wakati wa kiangazi. Sii kwa ajili ya kuzalisha umeme as such. Waliweka just small generators pale kwa ajili ya matumimizi yao na majirani wa pale. Tatizo lilipoanza kujitokeza kwenye ile catchment...
Kwa bahati mbaya, madhara na faida za Hydro-electic generation against other sources wengi hawayajui na ukweli ni matumizi za mabwawa ya kujenga kujenerate umeme yana madhara mengi kimazingira na huwezi kutemea mabwawa kwa muda mrefu. Okay hili linakaribia kuisha ila baada ya kipindi kifupi sana...
Hakana anaeweza kuficha asili yake atakaefanya hivyo ni mtumwa yaani slave. Hii mada imekaa kichokozi au kwa maneno mengine ni ya kikabila dhidi ya kabila la Wachagga. Enzi za mwendazake kulizuka kundi lililokuwa likijaribu kuunga mkono hatua ya Mwendazake kuwachukia na kuwabagua Wachagga na...
Hizi ndio shida na tabu wanazoishi nazo watu aa kaskazini sasa kipindi hiki wanakuwaga mara mbili. Police anakusimamisha anakuambia tugawie na sisi hiyo hela uliochuma bana. Ooh tairi la kulia lina.,. Ooh speed tulipita babati mbio mtu upo kia.
Unapokosa ushindi ni hapo unapotaka kumtoa kiongozi wa CDM mitandaoni. Wana miongozo yao. Shida kubwa ya nchi hii sii maendeleo ya nchi bali ni kubakia nadarakani kwa ccm. Atakufa mtu kuliko kutoka madarakani na hizi zote ni sarakasi hizo.
Please give us the statistics, ulihoji watu wengi wangapi? Wapi Zanzibar au Tanganyika wanaosema hivyo na wangapi walipinga? Anyway hayo naona ni matamanio yako na sii dhambi kuwa nayo. Nia ya kutoa sweeping statements kama hizi zina lengo la kushawishi tu na sii vinginevyo.
Nimefurahi ulivyonijibu kwa kusema unawakilisha matamanio ya wengi kutoka mtaani, hebu nipe research uliyofanya na kupata hiyo conclusion inayoonyesha ni majority of watu walio mtaani. Nipe Sample size na scores zilizokupelekea hiyo joha yako. Tusijivike kubeba maoni ya wengi kumbe ni wewe na...
Nimeipenda hii Rais wetu ni chaguo la Mungu, Mungu aliacha kuwachagulia wana wa Israel kiongozi wao miaka mingi iliyopita na nchi nyingi sana za kidemokrasia na kiimla Rais huchaguliwa na wanadamu na sii Mungu. Ila ile dhana kuwa chagua la wengi ndio chagua la Mungu hili linamashiko zaidi. Je...
Mtoa mada sijui wasi wasi unautoa wapi? Chama cha mapinduzi hakijawahi kufanya kinyume na alieko madarakani hata siku moja kwa nini una wasi wasi. Urais bongo ni semi God kumuondoa inaweza kuwa ndio mwisho wa maisha yako kwani unaweka roho yako rehani. Rais amiri jeshi mkuu wa majeshi yote...
Ufolofesa wa nini, hawa viongozi wa Kiafrica buwana ni shida. Na mataifa mengine wanajua tuanavyopenda cheap things and praises. Ukiona hivyo ujue kina kitu kinasukwa kwa nguvu nyingi . Tusubiri matokeo.
Mhuu maendeleo sio kihiivyo, nimetembea nchi hii karibu kila mahali sii kweli Kilimanjaro kuna kila kitu sii kweli maeneo mengi yameshaendela Wachagga wanalewa sifa ambazo sii za kweli. Rais aliwaleza nyie msubiri mkafurahiii kuna shida umaskini umetamakaji vijijini, ulevi na vingine vingi...
IGA yetu ni kati ya TZ na Dubai wao Kenya ni Kenya na UAE, mkataba wetu umeingiza DPW automatic bila kutumia PPRA procedures ndio wakenya wanakuja juu DPW wameingizwaje moja kwa moja na hapa TZ DPW wameingia moja kwa moja bila ushindani. Hili ni tatizo moja kati ya mengi kwenye mkataba wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.