Okay, good analysis kaka, so are you suggesting to go the way of All Progressive party of Muhammadu Buhari? Kwamba tuwe na matokeo yetu na National Tallying Centre?
Mkuu Ruta umekua kimyaa sana kwenye mambo yanayoendelea hapo Nyumbani Tanzania, nilipenda sana uchambuzi ulioufanya mwaka 2013 huko Kenya kati ya Raila na Uhuru,pia ilionekana kuiponda sana mahakama ya ICC kua ni kibaraka wa wazungu! Naomba analysis ya wagombea hawa wali
Rutashubanyuma pls can you write about Uhuru presidency as he faces serious challenge on insecurity and rampant corruption in his Jubilee administration
Jana nilikua na OCD wa Wilaya moja akaniambia kuwa kilichobaki ni kutenda haki tu ndio kitakacholeta Amani maana wananchi wameshaelika sana hawapendi kona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.