Inakuwaje kuwa waliojeruhiwa ni wapinzani. Lakini waliofungwa jela ni wapinzani pia ?
Angalau kama umeiba basi ni afadhali uwe na njia ya kujificha kidogo.
Hii ni uwizi wa wazi. Ujambazi.
Sikutegemea Nape aseme hivyo. Sishangai kwa Bashe kwani wanaopigwa siyo wasomali.
Lazima hao walipata fununu kuwa karibu watashughulikiwa na mkuu. Nanjia kuu ya kupata cheo ccm siku hizi ni kupambana na chadema na upinzani. Jerry Muro tu hakufaulu kwani anatoka kanda
mbaya. Mungu aweke mkono...
Watanzania kwa.nini mnadhani kuwa ni wapinzani ndiyo wadai katiba mpya. Hiyo ni haki ya wote isipokuwa ya wanaccm kwani wao wanadhani wanakula good time.
Ahsante Prof. Baregu. You are the only one left. Si uliona tulimfukuza the most intelligent prossional NIMR for no reason. Huwa hatupendi wenye kufikiri. Tunapenda sana wa ndiyooo!
Wewe Azizi Musa
Wewe unajua maana ya maendeleo kuliko chadema.
Umetambua kukua kwa chadema pamoja na mateso yote wanayopata?
Wewe unadhani tungekuwa wapi leo kama serikali ingerudisha fedha na raslimali yote iliyopotezwa na viongozi wa ccm?
Marandu njaa na magonjwa.yamezidi Tanzania. Tazama halaiki inayoonekana kuelekea meli ya kichina inayotibu bure utajua hali ya Tz hivyo wisdom haina nafasi hapa.
Masha anasema chadema hawataki kushika dola
Wengine wanasema kazi ya upinzani ni kupambana na ufisadi na hiyo kazi imeisha sasa.
All...
Atamkimbiaje fisadi moja na kukimbilia kwa mafisadi wengi? Itakuwa maajabu kweli iwapo Slaa atakubali kuingia ccm. Labda watu wasiojulikana wamtishie tena kama walivyofanya 2015!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.