habari zenu,
huduma iliyoletwa na tiGO ya kutumia Facebook bila internet kwenye simu yako kwa kupiga *148*01*4*2#...naona mizinguo tu maana kila unapojaribu ingia kwenye akaunti yako wanakuambia "system busy"....naona bora waisitishe tu!
habari zenu wanaJF,
Kwa wale tunaofuatilia matangazo ya kituo cha televishen EATV (channel 5) utangundua kuwa kituo kimepoteza ubora sababu nyimbo kila siku (kama kwa muda wa wiki 3) hizohizo na kwa mtiririko uleule, sa nyingine wanakatisha nyimbo. Hali hii inakera sana...wahusika fanyeni...
I thank the Almight God, For you Little Good Guy for being Good all ofthe time, Dogo u a stil underground, while ukicheki wenzio 2na get pound, bora urudi class ukaji'reset, upesiupesi, the way nnavochana kijana nakupa stress, dume zima eti unavaa underskirt??una'claim eti Pat ninaimba!, dogo...
till now cjaona mnachochana,
labda I will be back baada ya mida kupita pita,
bado hamna sifa ya kubattle na Pat Da MC mkali, ninaechana bila ya ku2mia M.I.C,
Mwalabuhi endelea kuwakimbiza huku ukiwatafuna,
especially these two guyz GG na Saint Ivuga,
cuz me huku mambo flaniflani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.