"There was an error. Please try again."
Mimi ni mtumiaji wa Clubhouse kwa miezi miwili hivi. Nina swali moja, huwa ninashindwa kujiunga na ma-group... Yaani kuwa member. Niki-click pale kwenye kile "kinyumba", yanakuja maelezo hayo hapo juu... Naombeni ushauri juu ya hilo.
Asante.
Je suala hili lina ukweli? Mi nimeafuta sijaona. Ni sms tu nimetumiwa. Mwenye ufahamu atujuze. Eti kuna mionzi mara sayari ya Mars sijui kuna vitu gani hivyo inabidi tuzime cellular zetu!
Kuna foleni ndefu. Angalia njia nyingine ya kupita,maana hata zinazotokea Buguruni haziendi na zinazotokea Temeke pia haziendi. Labda za Airport na za City Center.
Inakaribia miaka kumi sasa tangu tukio hilo baya litokee...
Alikuwa mbali na mimi kwa kipindi cha kama nusu mwaka..
Japokuwa mawasiliano yalikuwepo on daily basis.. tena mara tatu kwa kutwa.. Lakini wivu wake uliopitiliza, ulipelekea kuja nilikokuwa najitafutia riziki,bila taarifa!
Nilipigiwa...
Takribani miaka kadhaa iliyopita,nilikuwa na galfriend ambaye alikuwa akitoka na mzee mmoja mwenye fedha zake. Ilichukua akili,muda na gharama kidogo kumuachanisha na huyo baba,kwa taaluma ni Eng.
Nilipiga sana simu,nilienda baa alizokuwa anakunywa,na kumsihi asimfuate tena yule...
Nimeweka kifurushi cha vodacom cha siku 7,cha sh 2,500.. Nikijaribu kubrowse inaniambia"This is a Wi-Fi service. Please ensure your device has an active Wi-Fi connection and try again."
Je nifanyeje?
Liandaliwe Jukwaa maalum kwa ajili ya:-
1. Watu wanaoanzisha threads za kipuuzi zisizo na mbele wala nyuma.. So zihamishiwe huko kuliko kuzicut (kuzifunga),ama kuziondosha moja kwa moja. Kwa hiyo watakaokuwa wanafagilia huo uzi wataendelea nao huko.
2. Members ambao kwa sasa wanaface adhabu...
Nimemnukuu hotuba yake ya May Day leo....
Ameelezea alivyoempower taasisi ya Ukaguzi wa Mahesabu ya Serikali (CAG). Kisha akatoa maneno hayo akimwelekeza CAG,atakapowaface Mawaziri,na Makatibu wao,na pale alipoitisha mkutano na Wakurugenzi na Wenyeviti wa H'shauri/Manispaa..
My take:
Bado...
Kuna mmoja kanikosakosa eti NMB bank ya kwetu (nakoganga) imeungua..
Mi nimemkosa "mjinga wa leo",nilimwambia awashe TV aangalie kwani Rais Obama kafariki,akastuka! Akacheka sana..
-Huku kwetu hatupewi mishahara minono...
-Huku kwetu hatupewi 'incentives'....
-Huku kwetu neno "WITO" linatumika kama nyundo ya kututwanga... So wengi tunalichukia ...
-Huku kwetu kazi nyingi ni za kuhatarisha usalama na uhai wetu wenyewe
Naomba kuwasilisha...
Jamani nipeni ushauri..
Kuna ninayemdai fedha kama laki hivi.. Akaniambia anatanguliza hiyo simu na fedha tutapigiana hesabu anailpe taratibu..
NB. Ni simu original...!
Jamani napenda ku-declare interest kuwa mimi ni mtumishi wa umma katika Idara ya Afya..
Lakini,tuseme ukweli... Katika idara ambazo inasemwa ni kazi za wito,yetu na ya Waalimu,tunanyanyasika sana.. Kidogo,tutaambiwa hatuna ubinadamu,na mengine mengi..
Sasa angalieni wenzetu... Wana...
Jamani nisaidieni...
Ila si mpya,ni mtumba kaniletea rafiki yangu kama namna ya kupunguza deni ninalomdai...
Je,itapona endapo ikipelekwa kwa fundi?
Ama nifanyeje?
Kama ikibidi matengenezo,wapi panafaa kuipeleka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.