Habari zenu wanajamvi naomba kuuliza kuna mtu humu ndani alifanya interview Eckernforde University siku ya tar 4/7/2014? Nahitaji kujua nini kinaendelea maana naona wako kimya.
Nawashukuru sana kwa kutusaidia watanzania tunaotaabika kutafuta ajira mimi nimewatumia CV yangu kama siku tatu nne hivi zilizopita naamini mtaifanyia kazi na mtanijibu kama nastahili kupata kazi kwenu au la!
Asanteni Sana!
kesho nitajitahidi niweke picha ila tungewasiliana uione live ingekuwa poa sana ujue picha sa nyingine zinadanganya au we nipigie unielekeze utakopatikana siku yoyote nikuletee uione.
Nina Toyota Carina
Ya mwaka 1998 imeingia nchini na kusajiliwa december 2008 imeanza kutembea rasmi 2009
CC 1762
silver Mettalic,
Chassis no AT21....
Engine No 7AG.......
Imetembea km 137,000
Inatembea na iko katika hali nzuri sana bei ya kuuzia ni 7m haipungui chini ya hapo if interested...
Habari zenu humu ndani,
Mimi ni mfanya biashara mdogo na sina muda mrefu tangu nianze biashara, najihusisha zaidi na biashara ya suti za kike ambazo naziuzia mkononi,sina duka ila natafuta wateja maofisini na sehemu mbalimbali nawapelekea, sasa nimepata hela kama 11millioni nafikiria kununua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.