ndio maana tulipewa eneo kubwa la nchi ili tuokote okote,ukubwa pua si wingi wa kamasi,
nawaza kama mkoloni angeipeleka kilomanjaro kenya,kagera uganda,mara iende kenya,hii nchi yangebaki maboga tu,
mikoa inayotoa changamoto ni hiyo tu,kisiasa,kiuchumi,kielimu,ukienda ktk vyuo vya elimu ya...
baada ya kuzima wanaharakati,wanahabari,wapinzani,akajua kamaliza,
hakujua anaowazima pia ni waumini mahalli fulani
limeibuka kanisa,akizima huku kule panaibuka........
Herode alimsaka mtoto Yesu ili ammalize,Mungu akamficha Misri,Mungu kaificha demokrasia kanisani,isiuwawe
kuna kisa kimoja cha mfalme aliyeaminishwa kuwa kavaa nguo maridadi kumbe la hasha,maungo yake yalikuwa yakionekana kwa wananchi
hii habari ni sawa na jaribio la prof Assad kumwambia mfalme akavae nguo hasa alipoongelea deni la Taifa,lakini mfalme bado anaamini kavaa vazi maridadi,kwa hiyo Prof...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.