Sijawahi sikia unampinga/japo hata kumuuliza anaweza kuokota vichwa vya train kisa hapo hapo waziri wake anafanya mchakato wa kuvinunua
Huu ujuha usituambukize sisi.
Mkuu hata kama tunalipwa kuandika haya ndo tunakazwa hata kutumia
Hata akili za kama akili za shule tumetoka kapa?
Nikuulize tu fisadi kama wewe mbugira
Unamtambuaje je fisadi ni kosa kisheria na kama ni kosa kisheria je?
Unawatambua hao mafisadi? Je
Unasaidiaje hao mafisadi kufikishwa
Mbele ya...
Ila na yabo sana
Mpaka sasa MAGU
Hajapiga popote
Faru John mpaka leo sijui ilikuwaje
Mahakama ya mafisadi imekuwa kiini
Macho alichoweza kukamata,
Wapinzani na kupiga marufuku
Bunge live
Ila makonda kwenye mikutano yake
Inakuwa live huu ujuha.
Sasa hapa kamanda umeweka mambo sawa maana juzi tumelishwa tango pori kuwa wametumwa makachero kukuhoji kumbe alikuwa anapima upepo
MUNGU ni mwema atakupigania dhidi ya watesi
Wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.