Mpendwa mwanaJF Love is not blind but the people who are in love are the ones who are blind to each other.
Kila mtu ana criteria zake katika kutafuta mke au mume ambazo akiona mtu amezitimiza basi hasiti kutangaza nia, katika mapenzi parents comes second after the one you love except kwa reasons...
Samahani mwana JF The great thinker ulikua na maana gani kupost hii
Unatupa taarifa.
Wasiooa waoe Tanga
Wenye ndoa watoke nje wawe na nyumba ndogo au waache wake zao ambao si waTanga?
Wanawake ambo co waTanga waende kupata ujuzi?
Me nadhani kila mtu anachoice yake na mke au demu wakuzugia...
good stuff
ila wapo wanaume wanaofanyiwa yooooote hayo but hawaaachi kuhangaika jamani.
Me nakazia kwenye kusali tu, ukishaumbwa mwanamke huna ujanja wakutomwombea mmeo maana nia agizo la Mungu
Guys, its hard to understand men sometimes.
Hali hii ina muda gani? mana kutokana na thread yako naona kama ni siku moja tu sasa utaweza kweli kama ulivyoapa kwa shida na raha hadi kifo kitutenganishe?
Kitu kingine nahisi kama unafichaa kitu maana hadi anune pamoja na ujauzito ghafla kiasi hicho...
k sitakunyima ukiona unanyimwa ujue ashajua kama unapengine unapata ili akuonyeshe kwamba ni upuuzi anaamua kuibana yake,utumie unayoitaka coz yake siumeona haitoshi
me nimeolewa.
Kwanza kabisa housegal ni kama binti katika familia anayofanya kazi.kiukweli jiulizei aliotoka hadi akaingia ndani kwako amefuata nini? kama mama siwezi kumruhusu binti yangu atembee na wanaume eti kumaliza ashki,JIULIZE angekuwa binti yako yakumzaa ungekubali mtu anaemlea amfanyie...
N akama ni mwanamke basi hajaolewa na kama kaolewa hajawahi kubeba mbimba na kama bado yupo ndoani hiyo ndoa aijuae ni mola. Au ameshatendwa hadi kaamua kuwa kama alivyo na above inawezekana yeye ni nyumba ndogo ya mtu.
Samahani kwakuharibu thread ya mtu ila nimejiskia kuongea kuhusu Jestina
"Mimi TGR ninakuchukua wewe SSS kuwa mke wangu wa ndoa nina ahidi kukupenda na kukuheshimu,nitakufanyia fadhila na kukujali.nitakua pamoja na wewe katika shida na raha,magonjwa na afya,hadi kifo kitutenganishe,eeh mwenyezi Mungu nisaidie."
Vigelegele vikapigwa ,makofi matarumbeta yani full...
jaribu kukatika halafu umsikie kama anataka au lah, kamahujui jifunze ia usimuulize kama hujui anaweza akawa napenda halafu wewe huwezi .
kama unajua wewe katika halafu umsikilizie,kama hujui jifunze kwanza kimya kimya ni rahisi sana mana viuno wakati wa sex sio viuno kama vya bolingo. Ukishajua...
NDOA; Nyumbani Daima Omba Amani
Wakati wakuapa anakumbuka alisema nini?anakumbuka nyakati zote alizoahidi kua atakua na mkewe?
Wanaume jamani kutandika au kuweka net kuna ishu gani??
Nijuavyo wanaume ni watu wasiopenda malumbano sasa mbona huyu anakua tofauti?ushajua mkeo mjamzito,awe anavunga...
Watu wengi sana wanavunja mahusiano kwa simu,na ndio maana hata ukisoma comment nyingi za watu humu wamekushauri wajuavyo.
Simu hizi tulizo nazo ni nzuri sana ila aina ya matumizi ambayo ni mabaya ndio yana sababisha matatizo.
Kama wapenzi mnaaminiana hauwezi kukataa kumpa simu mwenzako ila kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.