Ukiingia mtaani mashabiki walio wengi wanaamini kwamba Yanga ndio ana mechi ngumu zaidi ya Simba , mashabiki wa yanga wali ingia unyonge baada ya Droo kupangwa.
Huku wa Simba wakitamba kwamba mfupa wao washauzoea hivyo jambo lao wanalimaliza safari hii na mbwai ita kua mbwai afe kipa afe beki...
Kati kati ya kitongoji masikini chenye rate kubwa ya uharifu alikuwepo bwana mdogo alie itwa Gabriel teseka na penzi la mrembo mmoja wakishua alie itwa Skyle mrembo kweli kweli.
Mara zote Gabriel alitolewa mbavuni alipo tupa nyavu kumpata mtoto Skyle.Gabriel alipiga sana simu hakuna hata moja...
Kuna nadharia zaidi ya milioni moja kutoka mataifa na meaneo mbali mbali yenye kusimulia kuhusu uwepo nguvu isiyo ya kawaida , nguvu yenye uwezo wa kuumba na kutoa uhai.(supernatural power ) kutoka kwenye ngano hizo nyingi ndipo zinapo zaliwa dini nyingi ,
Ukiachana na ngano zenye kusimulia...
Soka ndio mchezo ulio sambaa zaidi Duniani, ndio mchezo unao fuatiliwa na watu wengi zaidi na ndio mchezo una tengeza ajira nyingi zaidi kwa wanamichezo!,
Kwanini?
Sababu kubwa ni kua kwenye soka yoyote anaweza pasuliwa na yoyote, uwepo wa hili jambo ndio umepelekea kuibuka kwa betting...
Ipo nadharia ya kusafiri muda (time traveling), maana yake ni kua mtu anaweza kutoka leo au sasa na kwenda past yani jana au siku ama miaka ya nyuma.
Yaani kama leo ni 2023, binadamu anaweza akasafiri muda na kwenda mwaka 1900 akawakuta watu wazamani mabibi na mababu walivyo kua wana fanywa na...
Hapo zamani, kulikuwa na hadithi maarufu katika ulimwengu wa kufikirika wa bala la Westeros, ulimwengu wa series ya "Game of Thrones" iliyo zungumzia Usiku mrefu(the long night) na uwepo wa White walkers.
Kuanzia sehemu ya kwanza mpaka simulizi hii inafika tamati, ime kuwepo habari ya "the long...
Kwenye historia ya vitabu vya simulizi za watoto maafuru kama (FAIRLY TALE STORIES) ipo simulizi ya Daktari Frakenstain ambe inasa elezwa kuwa alikua na teknolojia ina weza kufufua wafu,
Alitumia teknolojia hii kuridisha uhai wa mdogo ake alie julikana kwa jina la Inspector Jonathan.
Historia...
Tangu Tanganyika ipate uhuru wake kamili December 1961 ni kama miaka 60 imepita huu ni wa 61..
Kutokana na sheria kua ili raia wa Tanzania awe na uwezo wa kupiga kura ni lazima awe angalau na miaka 18 hivyo tangu tupate uhuru kuna vizazi vitano tofauti ambavyo vime Timiza umri wa kupiga kura...
Bibi Harusi alienda stationary aliomba achapiwe 1 Yohana 4:18 kwenye CARD YA HARUSI lakini mchapaji alifanya kosa kwa kutoweka "1" kabla ya Yohana hivyo akachapisha Yohana 4:18_
1 Yohana 4:18 inasema "Katika pendo hamna woga, bali pendo lililo kamili hufukuza hofu zote"_
Lakini Yohana 4:18...
"The problem with Africa is those with power have no idea, and those with idea have no power"
By proffesor lumumba
Recent Nilikua nasoma kitabu kimoja kimaitwa THE LOOTING MACHINE OF AFRICA kimeandikwa na Tom Borgis, tofauti na maandiko mengi sana niliyo wahi kuyasoma yakizungumzia utajiri na...
Rekodi za timu kutoka Africa kombe la Dunia 2022 ..
[emoji3591]Ni mara ya kwanza team kutoka Africa inapata ushindi dhidi Ya bingwa mtetezi wa kombe la Dunia, Tunisia waki pata ushindi dhidi ya bingwa mtetezi wa 2018 France.
[emoji3591]Timu za Africa zina weka Rekodi ya kupata ushindi mara...
Mashindano Ya kombe la Dunia Yakiwa Yanaendea Kuna Baadhi Ya matukio na Rekodi kadhaa ziliwekwa na Timu na wachezaji Binafsi.Hizi ni Baadhi Ya Rekodi katika mashindano.
[emoji429]Qatar imekuwa timu Ya kwanza mwenyeji kupoteza mechi Ya Ufunguzi, Timu Ya kwanza Kuondolewa katika mashindano baada...
Ni series ya muendelezo wa ile iliyo tangulia ya game of thrones kutoka HBO..
Series ime base na House Tygaryan ambao ni dragons rider na rulers wa Seven Kingdoms za westoras ambao ki asiri wao walitokea the bara tofauti na westoras sehem the inaitwa Verylian.
Miaka zaidi ya 170 kabla ya...
Hatupaswi kuendelea kuita bara letu AFRICA na kuanza kuita jina lake halisi la ALKEBU-LAN, kama jinsi ma babu zetu walivyo kua wakiliita hapo awali, ALKEBU-LAN lenye maana ya "ASILI YA UHAI DUNIANI"
Jina la Africa halina maana yoyote wala hali akisi jambk lolote kutoka kwenye lugha zetu za...
Kuna love story alafu kuna am in love with church girls [emoji130].
Miles Montego ni jamaa flani muuni sana mtu wa dili zote chafu kuanzia kuuza madawa ya kulevya mpaka siraha haramu.
Jamaa hajawahi kuona kama wanawake ni watu.. maisha yake yote amekua akiamini wanawake ni nidhaa ambayo...
Kama ni series bora basi naweza kuitaja Game of thrones,Prison break na 24 au Once upon a time ya mheshimwa Rumple stiltr skin na hii ni kutokana na mpangilio wa story matukio ubora wahusika uwekezaji na mambo kadha wa kadha,,
ila kama ni series ambayo imenifanya nione ni namna gani charater na...
Tangu kuanzishwa kwakwe mwaka 1932 clabu ya Young Africans almaarufu kama Yanga Sc wamepita zaidi ya wachezaji 1000 walio itumikia timu hii kwa nyakati tofatuti tofauti na vizazi tofauti tofauti.
Kutokana na ukweli kwamba sheria ya mpira wa miguu ambao huko America wanautambua kama Soka...
Baada ya hukumu ya mchambuzi nguli wa masuala ya soka na michezo Tanzania Bw Shafii Dauda Al Maarufu Kama Digala kua amefungiwa kujihusisha na masula ya michezo kwa muda wa miaka mitano kutoka kwa TFF.
Wote tunafahamu kua Shafii Dauda ana miliki maduka ya Vifaa vya michezo DAUDA SPORTS WEAR...
Kwa walio bahatika kutazama mechi ya Europa ilio wakutanisha Barcelona dhidi ya Napoli kuna jambo kisilo la kawaida kwa hii jezi ya Pheran Torres kuto kua na Logo ya Timu wala mdhamini wa jezi yani Nike
Kwa anae fahamu zababu anijuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.