Kuna maswali mepesi yenye majubu magumu sana, hasa yale yanayo uskana na nature ,
Maswali kama Binadamu alitokea wapi au Dunia uli anzaje, haya ni maswali magumu yenye majibu magumu au hayana kabisa,
Kama utapata muda wa kufuatialia viumbe/wanyama hawa tunao wafuga majumbani basi utaona...
toa hoja tetea hoja ndio watu walio elimika huwa wanafanya kama huna point kaa kimya habari wa walio zaliwa mwaka gani na mwaka hio sio hoja na huna uhakika wowote kiwa ni mzaliwa wa 2000+
Mtu anakuona mwehu kuamini hii conspiracy ila. Yeye anaamini supernatural power 😂😂.
Utofauti wa simulizi za kupasua maji ya bahari na hizi nyingi zina tofauti gani??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.