Hakika alichofanya vunja bei ni zaidi ya uhuni kwenye jezi mpya za simba, ubunifu zero alichofanya kachukua jezi ya timu ya taifa ya Tunisia ya mwaka 2019 kisha kaongeza yale makorokoro .
Na leo wametutambulishia kuwa ni uzi mpya wa simba ajabu kweli
Wewe mleta mada fikiria wangelikuwa ndio wazazi wako wamewekwa gerezani miaka 9 Bila ya kusomewa hukumu ya mashtaka yao ungeli furahi?
Binafsi yangu nampongeza DPP kwa kuwaachia huru raia wenzetu sababu ushahidi ulikosekana wa kuwatia hatiani
Hivyo basi nakushauri hii mada yako ungeli ifuta...
Mkuu mm naona hilo shimo liboreshe kiwe kisima cha maji, halafu angalia eneo jingine uchimbe choo kabla ya kuchimba tafuta mtu mwenye ujuzi apime kama kuna uwezekano wa kuwepo na maji.
Mleta mada wachanongwa hata roma haikujengwa kwa siku moja. Ww unamtathimini Mama kwa hotuba nne, kwa hiyo unataka Tanzania tuwe kwenye G7 kwa mwezi mmoja tangu Mama awe mkuu wa nchi. Sisi watanzania tumefarijika kwa hizo hotuba zote na tunaona neema inakuja.
Mleta mada nenda ukapitie hotuba na kauli za jiwe kipindi alipoingia madarakani jinsi alivyokuwa akiuponda uongozi wa mtangulizi wake Kikwete ili hali alikuwa katika baraza lake la mawaziri akiwa waziri wa ujenzi . Mimi naona Mama yupo sawa kusema waziwazi mambo ambayo yaliyokuwa sio sawa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.