Nyerere alikuwa mjanja sana Mama hawezi kuvunja muungano na hana huwezo huo kwa mazingira ya huu muungano. Mama akivunja muungano Jeshi litavunja serkali.
Mkuu hao jamaa ni wahuni tu na wanatumia uhuni kwenye mgongo wa dini, kwanza hao watu wote wanakamatwa majumbani mwao wakila lunch zao, wala sio kwamba walikamatwa mitaani.Pili wazungu hawakamatwi sasa baada ya kusikia malalamiko kwamba mbona ni watanganyika tu mnakamata, wakaja na uhuni...
Polisi zanzibar ni waongo sana, hakuna sheria yoyote Zanzibar inamkataza mtu kula wakati wa ramadhani.
Miaka ya nyuma kesi zote zilizopelekwa mahakamani mashitaka yalisomeka tofauti, badala ya shitaka la kula mchana wakati wa ramadhani, mashitaka yote yaliletwa mahakamani kwa kosa la uzururaji...
Tatizo ninini? Kwasababu ni msaada? Ngano ya Ukraine inayouzwa Africa, majirani zao Poland wanasema hawawezi kulishia ata manyama na kuku zao...We kataa mchele na endelea kula chapati za unga toka ukraine.
Ukitaka kujifunza kiurahisi chukua hicho kilichokushangaza then weka kwenye mfano wa mazingira ya karibu na wewe Mfano tofauti ya mili ya makabila ya TZ hapo hapo
Kuna Watanzania wengi wako Jeshi la uingereza na wengine wako uko nato sasa hivi.Ina maana yeye hajuhi kwamba uingereza kwa mgongo wa nchi za madola ni haki kwao kuwaingiza kwene jeshi lao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.