Mwenzenu nina tatizo la kutokwa na usaha kwenye uume wiki tatu sasa
Pia nikikojoa kwenye njia ya mkojo panauma, naomba kujua hili ni tatizo gani na limesababishwa na nini na tiba ni ipi?
Asanteni
Kuna haja ya kuliangalia swala hili kwa kina unakuta ng'ombe au punda wamebebeshwa mzigo mkubwa mfano maguni ya mpunga au mahindi huku wakilazimishwa kukimbia kwa mijeredi mpaka unakuta punda anatoa machozi analia kama binadamu!! Kumbuka wanyama wana damu kama binadamu hivo wanahisi maumivu...
Nimekaa nikatafakari saana
Hivi kwanini mtoto anakuwa Mali ya baba wakati kwa mawazo yangu Mimi naona mama ndo ana-play part kubwa sana, kwani mama anambeba mtoto tumboni miezi 9, haitoshi siku ya kujifungua leba ni siku ambayo Israeli mtoa roho anakuwa naye karibu sana(kufa/kupona).
Baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.