1. "Abraar Hollow Blocks".
Abraar Education Centre licha ya kutoa mafunzo ya kuunda bidhaa za ujenzi pia ni waundaji wa bidhaa za ujenzi za kipekee zente ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu.
Leo tunaanza kuwaletea aina ya bidhaa zetu tunazounda. Licha ya kuziunda bidha hizi, pia...
Hapa Abraar Education Centre tunatoa mafunzo yafuatayo kwa vitendo...
1) Mafunzo ya kuunda vifaa vya ujenzi (masonry).
2) Mafunzo ya ujenzi (masonry).
3) Mafunzo ya lugha ya Kingereza (Engloish language).
4) Mafunzo ya ya Lugha ya Kiarabu (Arabic language).
Na hivi karibuni mafunzo ya...
Katika muendelezo wetu wa kubuni vifaa vya ujenzi vya kipekee vyenye ubora wa hali ya juu na gharama nafuu, sasa tuna pavers paving bloks za kipekee Tanzania (kama sio duniani).
Pavers zetu hizi tunaziita Abraar Massage Stepping Stones. Kwanza jioneneezi zilivyo, halafu tutaendelea kuwaelezea...
Abraar (waja wema)
Asalaam Alaikum.
Hapa Abraar Complex licha ya kuwa na kituo cha elimu "Abraar EducationCentre", pia tuna kituo cha biashara na ujasiriamali "Abraar Business Centre" chenye vitengo kadhaa ambavyo vyote vimelenga kufanya biashara na ujasiriamali utaowezesha (empowerment)...
Abraar Education Centre tunahitaji fundi pikipiki mzoefu ambae ana uwezo wa kutatua matatizo yote ya kiufundi kwa pikipiki zilizozoeleka Tanzania.
Tunaanzisha kituo kipya cha mafunzo ya ufundi pikipiki kwa vitendo.
Fundi awe na uzoefu wa kutosha kufanya kazi zake bila kusimamiwa.
Kutatolewa...
Asalaam Alaikum
Mabaharia wana msemo wao "one day yes", nasi, Abraar Bricks Nyumba kwa wote tunamshukuru Allah, wiki hii iliyopita tulikua na "Yes" double.
Yes zetu zote mbili zilikuwa ni matunda ya ubunifu, juhudi na ustahamilivu wa kuamini kuwa tuyafanyayo yanazingatia ubora wa Hali ya juu...
Abraar Computer Class.
Fursa ya ajira ya kudumu.
Kuna nafasi ya ajira ya Mwalimu wa kufundisha "short courses" za Basic Computer Applications.
Mwalimu awe na uwezo wa kufundisha kwa vitendo (practical) kwa aslimia 90 na theory asilimia 10, kuanzia watoto wadogo mpaka watu wazima adult...
Abraar Bricks Nyumba kwa wote.
Katika kiwanda chetu cha uzalishaji vifaa vya ujenzi wa kisasa kwa kutumia saruji (precast) tunatafuta msimamizi "manager" wa kiwanda.
Kiwanda kina uwezo wa kuwa na wafanyakazi wa uzalishaji 21 na wasio wazalishaji 3 kwa shift moja. Tunataraji kifikie uwezo wa...
*Fursa ya biashara kwa ubia (joint venture)
*
Abraar Bricks Nyumba kwa wote,
Kumejitojeza fursa ya kibiashara ambayo inahitaji active partners wa kuingia nao makubaliano ya kibiashara (joint ventures).
Yeyote kati ya hawa hapa chini wanaokidhi vigezo tuwasiliane;
1) Upo kwenye fani ya...
Sisi tunaitwa Madrassatul Abraar, tupo mtaa wa vitendo, kata ya Misugusugu, mkoa wa Pwani, namba zetu za simu 0625249605. Kituo kinaitwa "Miyomboni Shule" au Misugusugu Shule ya Msingi.
Fursa za kazi zilizopo sasa ni "production Manager" kwenye kiwanda kidogo cha vifaa vya ujenzi vinavyoundwa...
Kuhusu vita ya US na nchi za Magharibi dhidi ya Waislam wa Afghanistan, Ukweli ni huu. Siri ambayo haiwekwi wazi leo naiweka wazi.
Haikuwa vita ya ugaidi au ya kuwa US wanawapenda Sana wa Afghanistan au wanataka demokradia. Ilikua ni vita ya kibiashara. Biashara yenye faida kubwa kuliko mafuta...
Baada ya kuwa msomaji na mfuatailiaji na mchangiaji mzuri sana wa Jamii Forums kwa muda mrefu, ingawa uchangiaji wangu hapa JF umejikita katika mambo ya biashara, ujasiriamali na mengineyo machache, leo nimeona nitoe dukuduku langu kwa uchache kwenye siasa. Lakini mada yangu hii ya siasa...
Naomba kwanza tumsikilize Mkuu wa Mkoa.
Video clips zinachelewa kupanda lakini In shaa Allah tutazipandisha, ni muda tu.
Baada ya kumsikiliza mkuu wa mkoa na tatizo la uchafu na biashara kuwa kiholela mitaa ya Dar. AlhamduliLllah Madrassatul Abaraar darasa la vifaa vya ujenzi tumekuja na...
Mafundi ujenzi, plumbers, carpenters wenye uzoefu wanahitajika.
Wawe wenye kuijua kazi zao na kuweza kusimamia wengine wasio na uzoefu. Wakiweza kufundisha itakuwa ni plus.
Location yetu ni Misugusugu, Kibaha, Mkuranga Mkoa wa Pwani.
Kazi zinaweza kuwa za kusafiri na kuhamahama.
Kwa maelezo...
"Social Economic Empowerment Program,." Mpango wa Kijamii wa Kuwezeshana Kiuchumi, Kwa mara ya Kwanza Tanzania. Haujawahi kutokea, duniani.
Ni mpango uliobuniwa na Madrassatul Abraar, iliopo mtaa wa Vitendo, Misugusugu, Kibaha, Pwani Tanzania.
Mpango ulianzishwa nakuasisiwa na Abdul ghafur kwa...
Ikiwa unaweza au unamfahamu yeyote mwenye yjuzi wakutengeneza website sna android apps zenye ubora na viwango vya juu, tuna kazi za haraka.
Taasisi ya Kijamii ya Kiislaam iitwayo Abraar ipo mbioni kuanzishwa na inahitaji websites na apps. Taasisi itakuwa na vitengo visivyopungua 5 au zaidi...
Ikiwa unaweza au unamfahamu yeyote mwenye yjuzi wa kuunda / kutengeneza website sna android apps zenye ubora na viwango vya juu, tuna kazi za haraka.
Taasisi ya Kijamii ya Kiislaam iitwayo Abraar ipo mbioni kusnzishwa na inahitaji websites na apps. Taasisi itakuwa na vitengo visivyopungua 5 au...
Kama unajenga au una plan kujenga au u fundi ujenzi au unataka kuongeza nafasi kwenye nyumba ya bati uliyonnayo sasa, wasiliana na na sisi kwa ushauri wa bure na kujionea aina mpya kabisa ya ujenzi unaokupunguzia sana gharama za ujenzi.
Mafundi wote ujenzi tunawapatia masomo ya bure kabisa kwa...
Asalaam Alaikum.
Fursa ya ajira.
Kuna nafasi za kazi za...
1) Mhasibu (Accountant).
2) Store Keeper.
3. Personal Assistant.
Anaeomba kazi awe ni mzoefu wa hiyo kazi na anafahamu kazi na sio wa kufundishwa kazi.
Kazi zetu kwa sasa zipo Mkoa wa Pwani, Kibaha, Misugusugu, Mtaa wa Vitendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.