Kwani kuna shida wanafunzi wakienda kusoma Israel? Mbona walikuwa wanaendaga tangu zamani? Wakati wa Munich Olympic, 1972 kama sikosei waarabu waliua watu huko, haina maana kuwa watu wasiende olimpic, hizo ni incidents chache tu. Ukiogopa hivyo mbona utaogopa kutoka hata ndani kwako?
Hawa ni Jews ambao ni Falasha waliotoka Ethiopia, ebu angalia historia yako vizuri siyo unakurupuka tu. Jeshi la waisrael linao waarabu, bedouin, Druze, Jews and Falasha ambao walihamia Israel kutoka Ethiopia. Na kama kawaida ukishapita miaka 18 kila mmoja anapaswa aende jeshini, sasa shida ipo...
New york ina waisrael millioni 20???? Ebu acheni uongo, huyo Lissu ni muongo na mzandiki mkubwa, wapalestina walioko Jordan hawafiki nusu ya watu wote wa Jordan tusidanganywe na mtu mmoja muongo. Lissu anafanya kila kitu siasa. Shame on him.
Wanafunzi wamepelekwa Israel tangu 1985, kabla hujazaliwa wewe, leo unajifanya usalama haupo? acha hizo wewe, wengine tumekwenda huko na nimewaacha wanafunzi wengi wakisoma na kufanya field huko. Leo unaongea kuwa si salama, you are justifying that it is not safe, are you out of your mind?
Hawa wamepelekwa na chuo walikuwa 260 hii siyo mara ya kwanza vyuo vyetu kupeleka wanafunzi huko na mwakani watapelekwa pia. Iliyotokea ni bahati mbaya, ni kama umepanda ndege ikaanguka au ukasafiri na gari likapinduka. Acha mawazo potofu wewe, huwezi kuacha programs kwa sababu ya kuwaogopa...
Huyu Ismael Haniyeh anayo maisha mazuri kule Doha, yeye hakai Gaza lakini anawaambia watoto wa miaka 14,17 na hadi 20 wakapigane na waisrael. Kwanini yeye asiende mwenyewe akawaongoze kupigana na Israel, si wao wana Mungu wao mbona anaogopa, anajificha ficha? Osama bin Laden alikuwa hivi hivi...
Ndugu yangu kwa ushauri tu, wale vijana walikuwa kwenye mafunzo ya kimasomo. Wanafunzi wengi wa mambo yanayohusu kilimo wanaenda Israel kutokana na jinsi nchi ile ilivyoweza kubadili matumizi ya ardhi kutoka jangwa (Arid, Semi-arid and Desert) kuwa ardhi bora kwa matunda na mboga mboga. Israel...
Wewe Nyathika sijui nani unapaswa utumie akili kidogo, Kwa wale tuliopata bahati ya kupitia vyuo vikuu hasa vya nje tunajua jinsi Israel walivyo na utaalam wa kilimo kuanzia cha Horticulture na Matunda, na jinsi walivyoweza kubadilisha sehemu kubwa ya sehemu yao iliyokuwa jangwa kwenda kuwa...
Wameuawa wengi tu na wengine kutoka Africa kusini, na nchi zingine za kiafrika, The Philipines, Cambodia, Canada. Waisrael wanaijua vizuri Gaza, West bank etc. Hawahitaji wapelelezi kaka. Rejea history kama umekwenda shule kidogo ya Elimu dunia. Kama umeenda ya Quraan....pole
Nimesoma Daily News kuwa Rais Samia amesikitishwa na kifo cha Emir wa Kuwait ambaye amekufa akiwa na umri wa miaka 86 lakini hajasikitishwa na watoto wa kitanzania waliouawa na HAMAS huko Gaza na kwenye Kibbutz Orr huko Israel.
Mheshimiwa sana Mama rais, sijakuelewa. Je, ni kwamba husikitishwi...
Hiyo Allahu akbar ya kufurahi kuua ni nani wametoa, tunawafahamu ninyi na tabia zenu, hamnaga akili hata kidogo, mnachojua ni kuua tu washenzi ninyi. Dini ya mtume ya ovyo, mnakimbilia kuua tu, Hapo hakuna cha muisrael, ni ninyi washamba wa kipalestina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.