Habari za majukumu. jamani wana jamii nina matatizo ya kuto kupata hamu ya tendo la ndoa.
Pia sina hisia za kupenda wanawake au mausiano kwa ujumla.
Na niliamua kumsafilisha mke wangu mwaka jana na sina hisia nae kabisa.
Je nitakua nina matatizo kiafya.
Hivi huu ugonjwa unatokana na kufanya mapenzi tu hakuna njia nyengine inayo sababisha huu ugonjwa
Mdogo wangu wa kiume umri 13 kaupata huu ugonjwa yani hata sex ajui.
Habari za majukumu ndugu.
Nina Rafiki yangu Ameniambia nitamfutie mke
Nimetafuta mtaani hapa Nimekosa Nimeamua kuleta Tangazo humu MMU.
Sifa za mwanamke
Elimu Darasa la saba mpaka form 4 asizidi Elimu zaidi ya hapo
Umri 25/28.
Dini Muislamu
Asiwe mwembamba sana wala kibonge sana.
Sifa za...
Habari wakuu
Kuna seemu nimekuta wazee wanaongea Eti Tanzania haikutawaliwa na Ujeruman wala Uingeraza ila ilikuwa chini ya UN.
Uingeraza walikuwa wasimamizi tu
Ndio maana Nyerere alienda kudai uhuru marekani je! nikweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari
Kimara baruti kuna line ya bomba kubwa la maji limepasuka Siku ya 5 Leo toka tutoe taarifa sehemu usika
lakini kimya. serikali inazidi kupata hasara, pia kero kwa wakazi wa haya maeneo.
Tunaomba Dawasco muje kuziba hili bomba lenu litaangusha ukuta wetu.
Kuna Rafiki yangu anataka cheti cha manjano cha kusafiria
Kama kuna mtu anaweza kutupatia cha Dili pouwa. PM
Update
Ahsanteni kuna mdau kanisaidia nimesha kipata cheti cha manjano.
Leo kwenye pitapita yangu jamii forums nimeona hii kitu.
mtu wa kwanza kutoa Post amefariki
Mtu wa pili aliye coment kafariki
Mtu wa tatu aliye Coment kafariki inasikitisha Sana.
Habari ndugu.
Sikuhizi ajira zimekosa mambo yamekuwa magumu
Kuna Rafiki yangu anafanya kazi kwa muhindi kariakoo ya kuuza bidhaa za Dukani
Anatafuta mtu wa kuchanga naye mtaji waanzishe Biashara ya nguo za kike pamoja na viatu vya kike maeneo ya Gongo la mboto
Tunajuwa maeneo yote yakuchukuwa...
Habari ndugu
Nilisikia kuna passport mpya zimetoka yani wamebadilsha je hii yangu ya 2014 mpya au.
Maana passport yangu nilitengeneza kama emergency. Kwa sasa nataka kuitumia
Habari za majukumu
Hivi inwezekana kutowa Hela ATM ukiwa nje ya nchi kwa kutumia card ya CRDB visa card. Ili kuepusha maswala ya kuchange hela nchi hizo za kigeni.
Habari .
Leo mtaani amekuja mkuu wa wilaya pamoja na jeshi la polisi kumkamata mtoto wa miaka 12 Ambaye anaishi na kaka yake kwa kosa kupandisha bendera ya Canada kwenye mti ambao upo hapo nyumbani kwa huyo mtoto.
Baada ya kumkosa kaka wa huyo kijana wakamchukuwa mtoto nakumuweka Ndani...
Mambo vipi wana wamungu.
Kuna hii program ya Hi-fi kwenye Sabufa au kwenye Smartphone naomba munielekeze jinsi ya kuitumia maana zipozipo tu kama chama cha Ccm.
Jamani ndugu zangu mke wangu toka nimuoe Nina miezi nae sita. Tatizo ajapata mimba mpaka Leo baba mkwe ana lala mika anajuwa tuna tumia uzazi Wa mpango lakini si kweli nilimchoma ya miezi 3 tu. Lakini iliisha toka mwezi Wa 4 cha ajabu mimba mpaka sasa ajapata je itakuwa kuna tatizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.