Mtoa mada umeongea ukweli maana hata ukienda mahakamani au polisi Lazima utaulizwa DINI yako nani wakati ukichukuliwa maelezo,Y Dini yako? Na Nyumba za Ibada kwa nini zihesabiwe wakati wajengaji wa hizo nyumba ni waumini wenyewe? Au kwa nini nyumba za kuishi nazo zisihesabiwe? Si Bure Kuna jambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.