Uchumi wao ukoje ukilinganisha na wa kwetu?
What is their GDP per capital in a year??
There are alot of factors to consider and nat just the figure in question. I urge you think outside the box.
Hahaha kweli sikio la kufa halisikii dawa na asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu. Nimeamini mpiga ngumi ukutani huumiza mkonowe na kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.
Watu wenye dhamana ya kutetea maendeleo ya watanzania walalahoi waliopoteza matumaini wanazidi kuwanyong'onyesha binafsi imenisikisha na kuniumiza sana
subiri wenye uhakika basi ili usiseme porojo..Umeangalia muda niliopost kuwa niko kwangu?una uhakika gani kuwa sikutoka na kwenda eneo la tukio? Tulia kwanza sio unaropoka tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.