Habari wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada.
Nina watoto mapacha wana miez miwili sasa. Kiukweli wameanza kusumbua hivi karibuni nafkri ni kutokana na kutotoshelezwa na maziwa ya mama. Nafkria kuanza kuwapa maziwa ya ng'ombe ila watakuwa wanaendelea pia kunyonya kwa mama yao.
Ushauri juu...
Habari wana JF hope mko vizuri.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna mama mmoja hapa mtaani from nowhere kaniita chek bobu, nimeumiza sana kichwa kujua maana ya hilo jina ila nikakumbuka kuwa kuna wana JF wanaweza kunisaidia maana ya CHEK BOBU. Naomba msaada wadau ili nieendelee kudadavua uyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.