Habari.
Laptop inauzwa kwa bei nzuri sana, imetumika ila ipo katika hali nzuri sana.
BEI:500,000/=.
Mahali:Dar es salaam. Utatumiwa kama upo mkoani.
Aina:
Core i 5 4gb Ram hdd 500GB
Hp probook 450 g2
battery. 3 hours
0753651541
Mkuu deeppond kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri,nimefatilia predictions zako kweli uko makini,hata pale unapokosea unaona kabisa you were close to win.
Naomba uendelee kupost betts zako ili nasi tutembee nazo,pia naomba kujua application gani hii inayoonyesha hizi statistics ili nami niongeze...
Samahani..nielimishe, unaposema kufanya service ya gari...ni vitu gani hasa katika gari ni lazima viangaliwe ili kuhakikisha utendaji sahihi wa gari
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Nyumba angalau iwe chumba na sebule, jiko na choo cha kujitegemea, maji na luku ikijitegemea itakua njema zaidi, maeneo ya Magomeni, Sinza, Mwenge au Kimara mwisho, Baruti tokea Ubungo, sina mda wa kuzunguka kwahiyo dalali au mwenye nyumba inayokidhi mahitaji hayo ani pm, tutapeana taarifa zaidi...
Dell latitude E6430, hdd 500gb, ram 8gb, core i7, speed 2.9ghz, webcam, Nvdia graphcs card, bei laki 9,computer mpya kabisa ipo Dar es salaam ni mpya kwa maana ya upya, haijatumika kokote.
Mnunuaji ani pm
Sample pictures included
Dell latitude E6430, hdd 500gb, ram 8gb, core i7, speed 2.9ghz, webcam, Nvdia graphcs card, bei laki 9,computer mpya kabisa..ipo dar..ni mpya kwa maana ya upya, haijatumika kokote..mnunuaji ani pm.
Nachukizwa sana na watu wa namna hii...kama we huwezi kununua kausha tu...mnunuaji ataenda kuona bidhaa..akilidhika nayo watafanya biashara,unaongea utadhani Hiyo pesa unatoa wewe..acheni tabia ya kukurupukia post za watu..mnaboa kinyama..kama unataka kuwa mama ushauri Fungua center ukawashauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.