Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza😂, halafu katika watu ambao hutakiwi kuwasifia kwa ustaarabu ni watu wa mabus coz wanaweza kukushangaza anytime
Happy Nation mwendo wa kobe?!!! Mkuu ushawahi iona hata happy Nation kweli? Hii Happy Nation ni onatembea balaa tena hii wiki nzima alikuwa anawwpita Ally's na Katarama gepu kubwa tuu sijui kaponaje
Hizo zinazoenda mwendo wa kobe ndo mbaya sasa usijidanganye eti ni salama coz unakuta service yake yenyewe sio ya uhakika, dereva posho analipwa kidogo amejaa stress, mnakaa masaa mengi barabarani mwisho dereva anachoka maana siku nzima yuko road
Nikiwa na miaka 10++ nilikuwa mnene sana ila baada ya kuingia boarding nilipungua sana.. kilichonikuta ni limit ya chakula nilichokuwa nakula, maana asubuhi ni uji mkavu, mchana ugali na haushibi, usiku ni ugali na haushibi kivile (wale tulosoma shule za katoliki maharage kama Karanga)...
Habari wakuu!
Nadhani kwa kipindi hiki wengi mnaelewa katika tathnia ya usafirishaji abiria (mabasi) kumekuwa na ushindani mkunwa sana.
Yaani katika ushindani huo imefikia kipindi watu wanaingiza mabasi nchini kwa wingi kuliko kawaida, lengo ni kuweza kuhimili ushindani huo kwa kuboresha huduma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.