UFAFANUZI:
Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ ndilo lililobeba jukumu kwa Taifa zima dhidi ya Adui yeyote yule nje ya Mipaka yetu.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama ndiye atakuwa mkuu ya Jeshi lolote litakalo anzishwa au kuvunjwa ndani ya Nchi ya Tanzania.
Kwanini aitwe Chief Defense...
Kwa Utaratibu wa Vyeo CDF ndiye Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania.
Hoja ya kwanini hana Msafara sio kweli kwani yeye anao msafara kwa utaratibu wa sheria ya viongozi wetu nchini.
Wako viongozi ambao wanatumia msafara wa njia kufungwa kabisa na huruhusiwi kabisa kufungua mpaka...
King Kobra IIII aliyosema ni kweli na sijaona hata chembe ya Uongo kwani ameongea kweli tupu sasa ni wakati wa wa Waleta mada kutueleza kama yaliyoelezwa na King Kobra IIII ni uzushi basi wampeleke kwa Kamati ya nidhamu.
Katunzi kwa kadiri nnavyomfahamu mara zote amekuwa akiwaomba waumini...
Mwalimu JK Nyerere alitamka wazi kuwa endapo Malecela atachukua Form na kuwania Urais wa Tanzania atarudisha Card yake ndani ya Chama Cha Mapinduzi, je ? CCM ni mali yake ?.
Sio kweli hata kidogo zipo Hoja za Msingi ambazo Mheshimiwa Waziri-Lukuvi anazo za kutokuwepo kwenye Mdahalo.
Naamini kuwa Chama Cha Mapinduzi kina hoja za msingi ambazo hata leo zinaweza kusemwa kwa Wananchi ila swali je wananchi wako tayari kuzisikiliza kwa hali ya sasa ilivyo ?.
Mimi...
Kwe! kwe! kwe! Kama Khanga wa Porini, peleka umalaya wako na kivazi chako kwa Bahasha wako!. Safi sana Katekista, siku nyingine tandika Makofi nyambafu sana na Kivuzi chako!.
Mtwara geuzeni Marekani iwe kwenu hapo nitaona ushujaa wa wazee wenu! Nyambafuu sana ninyi, mmekalia uwizadi tu.
Mbona hamkuwageuza Askari wawe miti ya kivuri na Siraha ziwe mihogo ili mule.
Mmi binafsi yako mambo nakubaliana na Rais pia yako mengine nasema hapana! But kwa Rais kwenda kwao kujumuika na Ndugu zake je kosa lake ni lipi au nyani haoni kundule! Yeye ni Binadamu aliyezaliwa na wazazi wote wwawili hivyo kwao yeye ni Mtoto mbele ya wazazi wake na anatumwa kama wewe...
Mwaka jana Mgeni Rasmi alikuwa Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DR.Mohamed Gharib Bilali
Sasa Mwaka Huu walidhani Rais Jakaya Kikwete angekubaliana nao! Maana hawa jamaa ni tofauti na Malengo ya Heshima la Kanisa! Ndio maana Rais Kikwete kaamua kwenda kwao! Na siku...
Mimi ni Mkristo ninayeheshimu sana utaratibu wa Ibada katika Dini ya Kiislamu na Sera zake! Kwangu mimi sioni Kukataliwa juu ya Mahakama ya Kadhi endapo utaratibu Serikali utafuatwa! Bado waislamu watabaki kuwa Ndugu zetu na kamwe hakuna wakututenganisha nao Maana ni Baba zetu Mama zetu Wajomba...
Mabadiliko ya Tz ni ghalama! So mm naamin wakati utafika Magamba watakumbuka Methali ya MUOSHWA HUOSHWA,so naamin TZ ya leo si ya jana! Binafsi nampa Pole Mwanaharakati mwenzangu na nipo tayari kuchangia kwa sehemu Gharama ya Matibabu! Wanaharakati tusife Moyo Ushindi uu Karibu sana wa...
Hakikisha! Unatambua wewe ni Nani katika Nchi hii haijalishi Lundenga ameanda kwa Ushirikiano na VODA au na Nani,Viongozi legelege huruhusu mambo mengi legelege Lundenga kosa lake ni nini kosa ni La Viongozi wanaoshughulikia Mamlaka ya Meli kuruhusu hata Meli Vimeo kuendelea kutoa huduma kwa...
Ulitegemea Kikwete kama Mgombea aliyekuwa anataka Kura angefanya nini ?, ni mengi ameahidi ambayo mpaka sasa yanawasulubu Mawaziri wake katika sehemu Mbalimbali,so ni jambo la kawaida katika Game ya kutaka kuingia Ikulu ya TZ kupitia Magamba! Nini Mahakama ya Kadhi kwake!, je Maisha Bora...
Salva Rweyemamu na Premy Kibanga! tunatambua uwepo wanu Ikulu ni Kutoa taarifa tu na si kushauri kitaaluma kama kazi yenu ilivyo! Sisi huku nje tunaheshimu Kazi yenu kama Vibaraka mnaompoteza ****** kwa Habari za Majungu tu! Mimi binafsi nakuheshimu lakini kwa hili Salva umechemka ndugu yangu...
Jana tarehe 19 August 2011 Katika Kiwanda cha Kuzalisha Sukari cha Kilombero kwa sasa kinajulikana ILLOVO kulikuwa na Hali ya sintofahamu na iliyopelekea Wakata Miwa kuchukua Maamuzi Magumu ya kuacha Kazi Wote kwa kutokukubaliana na Uongozi wa kiwanda hicho, Wakata miwa hao ambao wangi wao...
Wakata Miwa wa Kiwanda cha ILOVO chenye Matawi Mawili (KILOMBERO-1 na KILOMBERO-2) Leo ni siku ya Nne wamegoma wakidai Nyongeza ya Mishahara yao, huku wakiwa na Maandamo yasiyo Rasmi wakiwa na Fimbo mikononi mwao tayari kumuadhibu Yeyote yule atakaye wasaliti katika Maamuzi yao.
Mpaka muda Huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.