Msaada wakuu nilikuwa natumia tv hizi za Mobisol badae ikawa inanisumbua nikaiuza.
Naomba kujuzwa ni tv ya kampuni gani za solar ambay ni nzuri kwa uangavu wa picha na uimara wake pia na bei pleasee.
Wakuu naomben ushauri nahitaj kununua king'amuzi cha Azam TV kwa wale wenye uzoefu navyo
Naomba kujua list ya local channel.
Uangavu wao unazidi startimes ya dish?
Hdmi cable ni bure wakati wa kununua king'amuzi au una uziwa
Mwisho kabisa mimi ni mtumiaji wa sola sijafikiwa na umeme bado...
Mimi ni mkulima wa nyanya nipo Singida.
Sio mbaya tukabadilishana uzoefu kuhusu zao hili ambalo kimsingi zao hili linawatoa sana watu ukilima ipasavyo. Hebu tuambiane upo mkoa gani na mbegu ipi unatumia na vipi changamoto mnazo kabiliana nazo kwa kipindi hichi na soko kwa ujumla hiyo sehemu...
Wakuu wale tunaotumia mitambo ya Mobisol naomba tuelezane changamoto za hii mitambo ya solar.
Mimi nina mwaka na nusu natumia mtambo wa 120 watts ila mahitaji hayaendani na maneno yao ya mwanzo wanapo kuuzia na ukiwapigia simu kuhusu changamoto unazo kabiliana nazo wanakupa sababu za hovyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.