Maskini Kamanda Mpinga aliyekua RPC Mbeya aliwahi kutolewa kafara na Mwendazake kwa kushushwa cheo. Kisa ni kwanini hakukagua gari lililotokea Tabora na kuja kupatia ajali Mbeya usiku mwingi kwa ku fail brake!!!
Marehemu alikua akitaka kula kichwa chako basi atakutafutia lolote la kukutosha na...
Tanga kunani pale?
Nakumbuka enzi hizo kuna mchezaji mpira maarufu sana wa Coastal Union ya Tanga wana Maangush tulikua tukiaa nae jirani, katika mojawapo ya barabara za Tanga
Siku moja alirudi nyumbani kwake ghafla na akamkuta mkewe yupo na njemba na wakiwa chumbani kwake, kwenye kitandani...
Wabongo aisee!!!
Siku za nyuma kuna abiria mmoja kutokea Bongo aliingia matatizoni baada ya kulazimisha busu na kumbato(hug) kutoka kwa air hostess wa ndege ya Emirates iliyokua ikienda Marekani
Jamaa alielewa vibaya kule kuchekewa chekewa na air hostess kua labda demu kamzimia asielewe yale...
Ni miradi mizuri na muhimu sana kwa nchi. Jambo la muhimu ni kudhibiti tu mchwa wala fedha za umma maana kwenye miradi ya maji ndio kuna upigaji wa kiwango cha SGR
Ni mgogoro na vurugu za kutengenezwa kwa makusudi. Imepengwa iwe hivyo kwa nia na madhumini mengine kabisa na watu wazima are dancing to the tune. Nchi inaulinzi barabara kabisa hii😀😀😀
Mkuu, unazungumzia kuchukua kombe wakati hata hiyo hatua ya makundi hatujavuka?
Kuna wachezaji kadhaa hawana hadhi ya kuchezea Simba kwa ngazi ya kimataifa
Na kama alinunua 2013 na mikataba kama hivyo inajionyesha si transfer ya Title Deed ingekua ipo kwa jina la Makonda sasa hivi? Kitu gani kimepelekea transfer of ownership isikamilike miaka tisa baadae?
Hiyo inayoonyweshwa na kubishaniwa ni mikataba. Tunataka kuona Title Deed yenye jina la...
Hata mimi sijaelewa hii post yako unamaanisha nini. What I wanted to express is that; Makonda has inflicted so much pain kwa baadhi ya watu hasa kwenye business community. Rafiki yangu Mpakistani akiwa one of his victims
Ilipoingia awamu ya tano kulikua na mixed opinions huku wengine wakidai...
Tuliaminishwa kua Bwana PCM hagusiki hata na awamu hii. Lakini kwa kilichotokea kwenye sakata la hiyo nyumba linanipa mashaka na zile kauli za kua ana godfather wa ngazi ya juu sana na kwa hiyo anaendelea ku enjoy impunity
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.