Desktop Graphics Card
Kwa 3D Designing & Gaming
Memory 1GB Vram Ddr3
DVI & Display port
Ina uwezo wa kucheza Modern Games kwa low settings (Tested on i5 2400 8GB Ram)
GTA V, FIFA 18,19, PES 19,18, GHOST RECON, ASSASSINS CREED, FAR CRY, WATCHDOGS, SLEEPING DOGS, NFS etc
Price 80,000 tu...
Wataalam Nimefunga vifaa vyangu sawa...ila nikichomeka cable ya HDMI katika port ya GPU yangu niliyofunga Monitor haiwaki (No Signal) lakini nikichomeka ktk port ya onboard inakubali...nini shida Wakuu?? Nimejaribu kudisable Onboard graphics card lakini bado tatizo lipo pale pale...Msaada...
Kumbe hii ni ndogo !! Nilijua ina ubavu kidogo maana nimeona kuna sehemu wameweka specs za FIFA 19 nikajua zinaendana Hiyo core i3 2100 with 3.1GHz.. Kama nilivyo mark katika Picture..
Naomba nipe elimu kidogo kuhusu tofauti ya hizo requirements na pc yangu next time nisiweze kuyumba mkuu.
Niaje wazee Hope mko poa!!
Kwa nyakati hizi za likizo nimeona bora nifufue Machine yangu hii niwe napiga games kusogeza muda kidogo.
Machine hii kama inavyoonekana uwezo wake sio powerful kihivyo kusukuma Game nzito na latest so nimeamua kufanya building kidogo kuiboost.
Binafsi nimepanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.