Habari,
Nimekuwa nikiona post, comment hapa Jf na wakati mwingine Sms nikitumiwa
na watu mbalimbali nimegundua kuwa watu hawajui kutofautisha maana ya neno
Mungu au MUNGU au Bwana au BWANA na mungu au bwana.
Haya maneno mawili yana maana mbili tofauti
1. Mungu au MUNGU- lina maanisha Mungu...
hawa kitu enzi za Ben walikuwa bukubuku tu ila Jk ndo hivyo tena, niliwaulizia kivuko cha kamanga nikaambiwa yule mkubwa buku 8 da haina jinsi tukubali matokeo
kuna wakati mimi huwa najiuliza hivi hawa wanawake Mungu angewaumba hivyo na minails,miwigs, na make up wanazofanya kweli wangekuwa confortable kwelina hizo? au imagine Mungu afanye muujiza minywele, nails na uchafu mwingine wote ubakie hivyohivyo usiondoke sijui mtapenda au mtaanza kkulia...
wewe yule alikuwa ticha wa A level halafu kapewa mazoezi ya kutosha na Mr. mi nahisi ndo sababu moja wapo ya kusogezwa mbele hii ziara, kuna walimu walikuwa wamemzunguka wa aina ya 'si uchawi english college' kuhakikisha hakumbani na changamoto kama hizo, pia lazima awsiliane na huyo mama kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.