Hack ukifika kwa Elite division
Ila mi naona ni vizuri ukiact kama kocha yaani soma takwimu za mechi zako pangilia formation halafu chea kwa kurelax mi sikuhack ila nimefika kule juu nimefumuliwa na timu moja tu ya dream team wakati huo timu yangu haina star zaidi ya sissoko
Ndiyoo...dream league soccer ndio lenyewe
Easy game controls
Unaanzisha kikosi chako mwenyewe kadri unavyoendelea vizuri unaweza kupandishwa daraja ...
Ukifika elite division ndio daraja la vibonde
Unaweza kuwa na mchezaji yoyote unayemtaka as long as una coins za kutosha kununua
Channel="Charles kikoti, post: 15799230, member: 139699"]Ukitaka ufulahie uzuri wa mobdro uwe na network kuanzia 3g na kuendelea ila ubaya mwingine ina hustler tv kwa kuonyesha ngono tup kwa ambao wenzangu na mm weka mbali na watoto.
Pia haina tv chaneli za ndani.
channel za Wrestling zipo??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.