Wenzetu Kenya,Rwanda wanashughulika na Issues za kuleta maendeleo kwenye nchi zao,sisi Tz tunatafuta wagoni.kweli sijui Mungu atatusamehe vipi na hii laana ya kutokujitambua kwa viongozi wanaojibandika madaraka.!!!
Sio zao la vyuo vikuu vinavyoheshimika duniani.anaogopa Challenges.ni mbayasana.Tanzania tunajiona werevu kumbe tupo nyuma sana sababu ya viongozi waoga wa Challenges wametudumaza.
Tanzania kiujumla ipo kama uijuavyo,uionavyo,uidhaniavyo,uichukuliavyo.na wasomi wake wengi wapo hivohivo.wasomi wachache sana wanye kujua nini maana ya kuwa mtanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.