Hivi ile mvua tunayowagawiaga wakenya walishakuja kuchukua au wanataka tuwapelekee!?Waambieni walipe kodi na wadai risiti tena ya efd's wasilete ujanja ujanja hii ni tz mpya kabisa
Niliandika hii kitu muda mrefu ulio pita,ila kutokana na yanayo endelea ya wenye nguvu kutamani kula akiba ya wanyonge imenikumbusha kupandisha bandiko hili linalo kwenda kwa mtindo wa hadithi simulizi ili pengine wenye macho wataona na wenye masikio wataelewa.
Maisha yalinipelekea kupata mwenzi...
Msemo wa wahenga kuwa usipoziba ufa utajenga ukuta umetimia vilivyo kwenye barabara hii.Barabara hii inayo hudumiwa na manispaa ya Ilala ina miaka mitatu tangu ilipoweka mashimo madogo madogo kwenye lami.
Ilipofikia sasa huwezi jua kama kulikuwa na barabara nzuri ya lami kabla.Barabara ipo kama...
Wana jamvi kuna taarifa kuwa Benard Membe ameandika kitabu sijajua kitabu kinaitwaje na kinahusu nini hasa.Mwenye kujua hebu tupe walau mawili matatu juu ya kitabu hicho.
Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.