Haka kajamaa msikaamini maneno yake,kenyewe ni kapiga deals kazuri tu,kakipiga mkwara we cheka na uende ukiwekea maanani utaumwa kicnwa bure,Haka ni kajizi promax waulize Ilala wana kumbukumbu nako.Kanajipaga muonekano wa mtu smart sana wakati kiuhalisia ni tabu tupu bora madelu
Kama unadhani ni jambo kubwa ndugu Biteko kuwa 'naibu waziri mkuu'jipige kifua mara tatu kisha ujiambie "mimi ni zwazwa".Unatwishwa zigo la mavi(nishati)halafu unapewa kitambaa chenye manukato(naibu waziri mkubwa)ujifutie jasho wakati bado zigo lipo kichwani,kisha ushangilie!?Hautakuwa sawa...
Ukikopa bank,ukashindwa kulipa ni shida.Japo kuna wachagga waliosoma CUBA wanajua jinsi ya kusolve hii issue.Ila hii ya kausha damu na chupi mkononi natoka na rungu tu hambebi hata vumbi!Maana hawa wake zetu wanakopa bila kutuambia wakianza kudaiwa wanahamishia zengwe nyumbani
Sie bado twajifanya popo,huku twapinga kisha twaambiana kama "kulegezana tulegezane wakubwb watoto tuwache".Upi ni msimamo wetu kitaifa?Au ndio maskini hana chaguo?Remember God created Adam&Eve not Adam&Stive.Nice Easter monday
Unamzungumzia marehemu asiye weza kukujibu chochote,amelala mazima wala hataamka tena.
Shughulika na waliopo kushughulika na hamna ni upotevu wa muda usio na msingi wowote mkuu, tafuta pesa mkuu legacy yako italindwa na chawa wako.
Narudia tafuta hela mengine ni mbwembwe tu.
Vijana wangu,mashauri ya ndoa hayatatuliwi kwa ushabiki au mihemko.Hayawezi kutatuliwa kwa haraka kama mpendavyo.Hawa wote wawili wanaonekana ni mabingwa wa sarakasi kiasi kwamba wamewapofusha hata watazamaji wao wasione tatizo lao halisi. Kumbukeni mahali sakata hili lilikoanzia mtajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.