01.Kiwanja namba (plot No.) 647.
Block ....
Ukubwa wake SQM 880.
Bei milioni nane (8Mil).
Daladala inafika kwenye kiwanja
Karbu njoo DM
02.kiwanja kingne kina ukubwa wa SQM 427
Plot No.119
Maji na umeme vipo hapohapo
Daladala inafika pia
Bei mil3 (milioni tatu )
Huyo mtupe fundi haizidi laki tano (500,000/)
Au nunua material then ita day workers hiyo utaelewana nao kila siku fundi 20,000/ tu utajenga siku mbili tu au uza tofali hapo boss kila tofali sh250 au Mia tatu tu (300) hapo anajenga tofali nyingi ndio anatoka na mkwanja
Nakupa wazo lovie
Tengeneza vipeperushi vya kuzuia tabia Kama hyo kwa makondakta then kakae stendi kila abiria wa kila gari mpe kipeperushi hicho then atakakoshukia na yeye atampa abiria wa huko then kwa kiasi flan utakuwa umetoa tatzo na soln kwa siku moja ....sasa usiniulze utaweza kweli ama...
Sumaye alijua amehamia Chadema mtelezo tu watampa vyeo na utopu kwenye chama ili aje awanie uraisi ndani ya chama ili ajidai baadae chama Cha ccm anakijua wakati wapinzani ndio wanakijua zaidi chama Cha CCM kuliko hata CCM wenyewe
Huyu mzee ana tamaa tu zikiisha atalisaidia taifa Ila sijui ni lini tamaa zitaisha. Haiwezekani ulkuwa Waziri Mkuu then umekosa nafasi ya chama tu unabutuka mwenyewe bila kubutuliwa Wala na silaha Mali zenyewe huna kivile kelele Kama chura tu. Wazee Kama Hawa vizazi vyake huwa vinashida sana...
Scenario Kama hii nmewahi kukutana nayo...kwenye mwaka mpya nilikuwa naelekea mwanza kondakta akawa amekwazana na abiria ikabidi dreva aingilie kesi wakalga makelele sana mwishowe yule dreva akawa na stamina ndogo ikabidi atoe gari nje ya barabara kupgana na yule abiria
kwa maana amekerwa na...
Alipoitwa bungeni ndg bwana Paschal Kama ukifuatilia kwa undani Kuna speed ya kuikosoa serikali na bunge kiujumla ilpungua kutoka kwa huyu ndg...hapo huwa nahisi pengne alitishiwa au la Basi aliahidiwa nafasi sio bure Paschal na najua hawezi sema
Watanzania wengne ni vimbelembele sana sijui tunahitaji vyeo!!!! Hata wakat mwngne cjui tu hata mm nakubaliana na andiko hili ndg #paschal Kuna mazingira huwa Kama naona ananyenyekea na kupiga magoti serikali kana kwamba there is something in needy....anyway ndio hivo jamaa yupo ndani na anasota...
Mwekezaji,anasafrisha kwenda nje ya nchi
Ombi langu hyo ahakikishiwe majiran hawatumii bangi hyo anayozalisha .....hapo serikali iliangalie vzr aendelee kupeleka na kuchakata kikubwa kodi
Watu wanajisahau sana mambo muhm wanakumbka mwshoni mwaka Jana Kenya walifanya kufunga ni Kama masihara na ikawa hvo...nasi ni hvohvo ww Kama una laini na hukuisajili kwa Alama za vidole itunze tu itakusaidia siku ukiihitaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.