Wadau mi nipo huku Morogoro,Wilaya ya Morogoro Kusini,Kata ya Mtombozi,Tarafa ya Mtombozi,Kijiji cha Nemele,Mwenyekiti wa hiki kijiji ni Mwanachama wa Chadema na ndo wanaongoza hapa kijijini,tena ni kijana ana umri wa miaka 27 tu..nimeambiwa katika uchaguzi uliopita alishndana na Babu yake Mzaa...
ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau na anaendelea kukupenda!!!
...
UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo.
Kama ni kuchukiwa atachukiwa...
Katika hali isiyo ya kawaida,kaka na dada ambao mama zao ni mkubwa na mdogo wamepeana mimba,stori yenyewe ilikuwa hivi,huyu msichana aliyepewa mimba alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na kaka yake yaani mtoto wa mama yake mkubwa ambaye ni tumbo moja na mama yake mzazi, kipindi wapo katika...
MWAKA WA MAAJABU 2011. Chukua
tarakimu mbili za mwisho za mwaka
uliozaliwa,jumlisha na umri ulionao
utapata jibu kuwa ni 111, unajua
maana ya namba hz? kama jibu
lisipokuja hlo unadanganya umri!
Kuna mtoto alizaliwa akawa haongei mpka alivyotimiza umri wa miaka 8,neno lake la kwanza kuongea likawa ni bibi,mara bibi yake akafa ghafla,akaja tena akatamka babu,naye babu akafa ghafla,kwa hiyo watu wakawa na wasiwasi na matamshi yake,ikaja siku akatamka baba,basi baba akawa na presha alijuwa...
Kwanza napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kuniweka mpka leo hii na kutimiza umri nilioufikia,wapo wengi wao hawajafikia umri wangu,Pili nawashukuru wazazi wangu kwa kunilea,kunisomesha na kufikia hapa nilipofka,mwisho ni kwa ndugu,jamaa na marafiki kwa ukarimu wenu kuwa nami tokea nazaliwa mpka...
Kama unahitaji muziki kwa shughuli ya aina yeyote ile,iwe ubarikio,ubatizo,komunio,Kipaimara,Ndoa,Harusi,Send Off,Beg Party,Kitchen Party,Graduation,Mkutano,Misiba,Mhadhara au aina ya Sherehe yeyote,nipigie kwa namba hizi 0713542446
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.