Wadau mi nipo huku Morogoro,Wilaya ya Morogoro Kusini,Kata ya Mtombozi,Tarafa ya Mtombozi,Kijiji cha Nemele,Mwenyekiti wa hiki kijiji ni Mwanachama wa Chadema na ndo wanaongoza hapa kijijini,tena ni kijana ana umri wa miaka 27 tu..nimeambiwa katika uchaguzi uliopita alishndana na Babu yake Mzaa...
ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau na anaendelea kukupenda!!!
...
UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo.
Kama ni kuchukiwa atachukiwa...
Katika hali isiyo ya kawaida,kaka na dada ambao mama zao ni mkubwa na mdogo wamepeana mimba,stori yenyewe ilikuwa hivi,huyu msichana aliyepewa mimba alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na kaka yake yaani mtoto wa mama yake mkubwa ambaye ni tumbo moja na mama yake mzazi, kipindi wapo katika...
Jambazi aua maofisa wa polisi Arusha
MTU anayedaiwa kuwa ni jambazi
sugu amemuua kwa kumpiga risasi
askari polisi mmoja na kumjeruhi
Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai
wa Wilaya ya Arusha, katika tukio la kurushiana risasi lililotokea usiku wa
kuamkia jana. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa...
MWAKA WA MAAJABU 2011. Chukua
tarakimu mbili za mwisho za mwaka
uliozaliwa,jumlisha na umri ulionao
utapata jibu kuwa ni 111, unajua
maana ya namba hz? kama jibu
lisipokuja hlo unadanganya umri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.