Wakuu,
Kwa wenye uelwa,naomba ufafanuzi wa kisheria,kimuundo na kimfumo wa Ofisi hii.
Pia ningependa kujua majukumu yake,nguvu yake katika kutoa maamuzi ya kisheria!
Natanguliza shukrani.
Wakuu,
Sisi wote ni vijana,hivyo ni vizuri kushirikishana.
Miye ningependa kwenda nchini Kuwaiti kuwa minajili ya kibiashara,na pia pia kwa makazi ya muda mfupi.
Ningependa kujuzwa na wale walio kwisha kwenda huko,je:
1)Ni biashara ipi ambayo naweza peleka,na taratibu za kuifungua?
Mathalani...
Wakuu,
Naomba mwenye nakala ya barua inayoonyesha mfumo mzima wa barua ya kuomba kibali cha kuhamia halmashauri nyingine katika mkoa mwingine.
Au layout nzima ya kuomba kuhamia halmashauri nyingine katika mkoa mwingine bila ya kubadilishana na mtu.
Thanks in advance!
Wakuu,
Kwa taarifa za awali ni kuwa Mhe Elia Shukia amefariki leo kwa ajali ya gari maeneo ya Manyoni.
Mhe Elia ambaye pia ni katibu wa Mbunge wa jimbo la Meatu alikuwa akitokea mkoani Dodoma,akiwa pamoja na Mkurugenzi wa Wilaya ya Meatu,Mwenyekiti wa Halmashauri na Dereva la gari husika...
Msafara wa Ndugu Kheri James Denice wapata ajali wilayani Meatu baada ya gari ya polisi kuchomoka tairi hivyo kuziba njia na magari ya nyuma kupandiana barabarani.
More updates:
Majeruhi wamefikia watatu wamepelekwa hospitali ya Mwandoya kwa huduma ya afya na gari ya basi ya Rombo imepata ajali...
Wapendwa,
Ninafanya kazi kuhubiri na kutoa huduma ya kiroho kwenye taasisi mbalimbali.
Nitakaa Mwanza kwa miezi mitatu au minne katika likizo yangu.
Hivyo ninependa kufundisha Bible Knowledge katika taasisi za Umma au Binafsi.
Pia ninaweza kufundisha masomo ya Geography,History na English...
Wapendwa,
Nimekuwa nikikutana na kanisa hili katika huduma zangu za kiroho na muda mwingi sikulipeleleza sana.
Ila hapo jana nilikutana na muumini wa kanisa hili,japo hakujieleza vizuri na kulipambambanua kanisa lake,ila nilipata mwanga kidogo.
Mwenye kuwajua vizuri hawa jamaa naomba afunguke...
Mnamo mwezi Aprili mwaka huu,Serikali kupitia Wizara ya Biashara iliahidi kuleta Rasimu ya Muswada wa Kusimamia na Kudhibiti Biashara Chakavu.
Bunge la Bajeti limekwishwa na hili la mwezi wa kumi na moja limeshakwisha.
Ninachoomba kujuzwa ni je hiyo Rasimu ilishaletwa Bungeni na kupitishwa ili...
Kususa hakujaanza leo.
Kama unakutana na wasusaji leo hii katika awamu hii ngumu kiuchumi,kisiasa na kijamii usijilaumu wala kujisikia vibaya.
Ebu mshukuru Mungu,cause that is a blessing in disguise.
Ukitaka kuamini kuwa ni baraka iliyojificha,ebu mkumbuke mtu kama Nabii Yona.
Nabii Yona...
Tunda hili huitwa mtogo na matunda yake huitwa matogo kwa kinyiramba.
Kinyamwezi huitwa mahonda,na karibu kila lugha ina jina lake.
Matunda yake yakiiva huwa matamu ya huwa magumu kabla ya kutafunwa,na huwa malaini kama makamasi.
Wanyiramba huyaita bigiji ya asili.
Naomba jina la kitaalamu...
Miye ni muumini mkubwa wa nyimbo bora za injili,na hata maktaba yangu ya nyimbo imejaa nyimbo toka madhehebu karibu yote.
Nina old and new school songs za RC,KKKT,SDA,AICT na nyinginezo.
Binafsi,miye nimezaliwa katika u-KKKT na japo nilishaachana na udhehebu,ila navutiwa zaidi na nyimbo za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.